GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,463
- 108,617
Naombeni sasa wale ambao mnajifnya mmebobea Kumfananisha Hayati Baba wa Taifa na Watu wengine kila uchao / siku safari hii basi msisahau Kunifananisha nae na Mimi GENTAMYCINE kwani nahisi hata Mimi ninafanana nae sana tu. Sasa ole wake safari ijayo nione Mtu mwingine anafananishwa na Hayati Nyerere halafu nisiwe Mimi hakyanani ' patachimbika ' hapa Jamvini.
Nawasilisha.
Nawasilisha.