cheeter
JF-Expert Member
- Apr 19, 2011
- 475
- 155
Tangu zoezi la watumishi hewa lianze CRDB nao wamezuia kukopesha watumishi wa serikali na hata wafanyabiashara. Mwenye majibu basi atujuze ni lini CRDB bank wataruhusu watu wakope. On other hand, nimemsikia Charles Kimei kuwa CRDB wana mpango wa kuongeza branches 11 nchi nzima.