Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,325
- 92,467
kama anatamka mbunge wa chadema wa mwanza kwamba ccm imetuletea udini mkoa wa mwanza kwa kuwaweka wakuu wa wilaya na mkoa waislam na yeye atawapiga vita kwa hali na mali. sasa kati ya ccm na chadema bora nani kwa waislam?
Sisi wakristo wote sasa tunarudi CCM kwa ajili ya kumpa urais mkiristo mwenzetu Edward Lowasa au Bernad Membe, hatutoangalia sifa ya kiongozi tena, sasa kwa mtaji huu, masheikh ubwabwa wote mtakuwa loser. beleive me or not, rais ajae ni lazima awe mkristo, kwa mtaji huu mmepigwa changa la macho mchana kweupeeee.