Ni lini Boniface Jacob atamkabidhi Benjamin Sitta kiti cha Umeya wa Manispaa ya Kinondoni?

Lizaboni

JF-Expert Member
Feb 21, 2013
33,894
20,372
Wadau, amani iwe kwenu.

Ni utaratibu kwa mtu anayemaliza muda wake kukabidhi Ofisi kwa mrithi wake. Huu ni utaratibu wa kawaida kabisa katika mfumo wa uongozi na utawala wa ngazi yoyote ile.

Ni dhahiri sasa mamlaka ya CHADEMA katika Manispaa ya Kinondoni imezikwa rasmi na sasa CCM imerejea kwa kishindo. Hata hivyo, naiona kwikwi na mgagasiko uliomkumba Meya aliyemaliza muda wake, Boniface Jacob. Sina hakika kama aliandaa Handing Notes. Sina hakika kama Bendera za CHADEMA zilishaondokewa kwenye Ofisi yake. Sina hakika kama zile nyaraka za siri kuhusu mambo kadhaa ya kiuongozi alishaziteketeza.

Pamoja na mgagasiko na kwikwi hizo, ni wajibu wake kukabidhi ofisi mapema iwezekanavyo ili Hapa Kazi Tu ianze mara moja. Kwa vile wafuasi wake wapo hapa, ni vema wakamfikishia ujumbe huu na kumkumbusha jukumu lake la msingi la kukabidhi ofisi.

Nimalizie kwa kusema kuwa huenda Boniface Jacob akaingia kwenye kumbukumbu ya kihistoria ya nchi yetu kwa kuwa Meya aliyekaa madarakani kwa muda mfupi zaidi.
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Ni utaratibu kwa mtu anayemaliza muda wake kukabidhi Ofisi kwa mrithi wake. Huu ni utaratibu wa kawaida kabisa katika mfumo wa uongozi na utawala wa ngazi yoyote ile.

Ni dhahiri sasa mamlaka ya CHADEMA katika Manispaa ya Kinondoni imezikwa rasmi na sasa CCM imerejea kwa kishindo. Hata hivyo, naiona kwikwi na mgagasiko uliomkumba Meya aliyemaliza muda wake, Boniface Jacob. Sina hakika kama aliandaa Handing Notes. Sina hakika kama Bendera za CHADEMA zilishaondokewa kwenye Ofisi yake. Sina hakika kama zile nyaraka za siri kuhusu mambo kadhaa ya kiuongozi alishaziteketeza.

Pamoja na mgagasiko na kwikwi hizo, ni wajibu wake kukabidhi ofisi mapema iwezekanavyo ili Hapa Kazi Tu ianze mara moja. Kwa vile wafuasi wake wapo hapa, ni vema wakamfikishia ujumbe huu na kumkumbusha jukumu lake la msingi la kukabidhi ofisi.

Nimalizie kwa kusema kuwa huenda Boniface Jacob akaingia kwenye kumbukumbu ya kihistoria ya nchi yetu kwa kuwa Meya aliyekaa madarakani kwa muda mfupi zaidi.
Alidhani atakaa milele hivi ile kesi yake ya kujeruhi hukumu bado vile???
 
waje tu, waje na marafiki zao, wasije peke yao. mwisho wa siku ofisi ikabidhiwe na watu wachape kazi, zile mbwembwe za kuzunguka tu kwenye viti ofisini bila kufanyakazi mwisho wake ndiyo hapo tena. Hapakazitu
Kama hakufanya ya msingi atajua yy
 
Kinondoni kweli kuna Meya wa CCM. Natumaini Lumumba watamkabidhi ofisi.

Meya aliyekuwepo alishaicha hiyo ofisi baada ya kuvunjwa kwa manispaa hiyo na kugawanywa na CCM
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Ni utaratibu kwa mtu anayemaliza muda wake kukabidhi Ofisi kwa mrithi wake. Huu ni utaratibu wa kawaida kabisa katika mfumo wa uongozi na utawala wa ngazi yoyote ile.

Ni dhahiri sasa mamlaka ya CHADEMA katika Manispaa ya Kinondoni imezikwa rasmi na sasa CCM imerejea kwa kishindo. Hata hivyo, naiona kwikwi na mgagasiko uliomkumba Meya aliyemaliza muda wake, Boniface Jacob. Sina hakika kama aliandaa Handing Notes. Sina hakika kama Bendera za CHADEMA zilishaondokewa kwenye Ofisi yake. Sina hakika kama zile nyaraka za siri kuhusu mambo kadhaa ya kiuongozi alishaziteketeza.

Pamoja na mgagasiko na kwikwi hizo, ni wajibu wake kukabidhi ofisi mapema iwezekanavyo ili Hapa Kazi Tu ianze mara moja. Kwa vile wafuasi wake wapo hapa, ni vema wakamfikishia ujumbe huu na kumkumbusha jukumu lake la msingi la kukabidhi ofisi.

Nimalizie kwa kusema kuwa huenda Boniface Jacob akaingia kwenye kumbukumbu ya kihistoria ya nchi yetu kwa kuwa Meya aliyekaa madarakani kwa muda mfupi zaidi.
Sina hakika, sina hakika, huenda bla bla, fanya utafiti wako kwanza.
Halafu meya hajapatikana bado, huyo ni mwenyekiti wa madiwani wa ccm tuu
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Ni utaratibu kwa mtu anayemaliza muda wake kukabidhi Ofisi kwa mrithi wake. Huu ni utaratibu wa kawaida kabisa katika mfumo wa uongozi na utawala wa ngazi yoyote ile.

Ni dhahiri sasa mamlaka ya CHADEMA katika Manispaa ya Kinondoni imezikwa rasmi na sasa CCM imerejea kwa kishindo. Hata hivyo, naiona kwikwi na mgagasiko uliomkumba Meya aliyemaliza muda wake, Boniface Jacob. Sina hakika kama aliandaa Handing Notes. Sina hakika kama Bendera za CHADEMA zilishaondokewa kwenye Ofisi yake. Sina hakika kama zile nyaraka za siri kuhusu mambo kadhaa ya kiuongozi alishaziteketeza.

Pamoja na mgagasiko na kwikwi hizo, ni wajibu wake kukabidhi ofisi mapema iwezekanavyo ili Hapa Kazi Tu ianze mara moja. Kwa vile wafuasi wake wapo hapa, ni vema wakamfikishia ujumbe huu na kumkumbusha jukumu lake la msingi la kukabidhi ofisi.

Nimalizie kwa kusema kuwa huenda Boniface Jacob akaingia kwenye kumbukumbu ya kihistoria ya nchi yetu kwa kuwa Meya aliyekaa madarakani kwa muda mfupi zaidi.
a2b5bd9cf3a2340489d32aacb4a0c1af.jpg
 
Back
Top Bottom