Ni lini Benjamin Sitta atavuliwa Umeya wa Kinondoni?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
116,419
215,178
Tuache unafiki wa kupuuza mambo ya msingi , mchakato uliompitisha huyu jamaa kuwa Meya wa Kinondoni ulikuwa batili kuliko batili yenyewe , ni lini ataondolewa ?

Ikiwa kama tutashindwa kumng'oa huyu jamaa , ambaye umeya wake hata kunguru wanajua si halali basi tujiulize na kujipima kama tunaheshimu katiba ya Tanzania au tumeamua kuungana nao kuipuuza.
 
Tuache unafiki wa kupuuza mambo ya msingi , mchakato uliompitisha huyu jamaa kuwa Meya wa Kinondoni ulikuwa batili kuliko batili yenyewe , ni lini ataondolewa ?

Ikiwa kama tutashindwa kumng'oa huyu jamaa , ambaye umeya wake hata kunguru wanajua si halali basi tujiulize na kujipima kama tunaheshimu katiba ya Tanzania au tumeamua kuungana nao kuipuuza.
Mbowe anazunguka tu! CDM nzima imelala tu kuna nini?
 
Mbona umeya wa matata ilemela mwanA uliwashinda je wa kinondoni itawezekana kweli?? Tufanye mambo mengine,au tusali na kumwachia mungu
 
Huyu mshamba wa Urambo leo katangaza eti atavunja Tandale na Manzese na wananchi wataovunjiwa watapelekwa Mabwepande kwani hawana hadhi ya kupelekwa sehemu kama Masaki

Sijui hii jeuri katoa ofisi ya spika Urambo?
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom