Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,465
- 92,850
Wakuu amani kwenu,
Nimelazimika kuileta hoja hii kwenu, kwani siku hizi viongozi wetu wa kiroho wamekuwa wakizungumzia mambo ya kisiasa kwa niaba ya waumini wao na ukiwa ndio kama msimamo wa madhehebu yao, sasa basi ni haki yao kimsingi kufanya hivyo, lakini mimi ningependa sasa na sisi tusiwe kama mazuzu kuwasikiliza tu bila kuhoji, sasa ningependekeza njia nzuri kwanza tuanze kujuwa na elimu zao za kidunia ni za kiwango gani? ili wawe na huo uhalali wa kuzungumzia mambo mazito ya nchi na kuacha ya dini.
Leo ningependa mwenye CV za mufti mkuu wa waislamu Issa Bin Simba na Askofu mkuu wa wakatoliki Mhadhama Kardinary Polycaply Pengo atuwekee hapa CV za hawa viongozi wetu hawa wawili ili tujuwe upeo wao kidunia.
N:B. Asitokee mwehu wa kusema thread hii eti ni ya udini, hapa ni JF where we dare to talk openly. hakuna mkuu nchi hii zaidi ya JAKAYA KIKWETE, lakini hapa anajadiliwa na anachambuliwa in n out.
Karibuni nimefunguwa mjadala.
Nimelazimika kuileta hoja hii kwenu, kwani siku hizi viongozi wetu wa kiroho wamekuwa wakizungumzia mambo ya kisiasa kwa niaba ya waumini wao na ukiwa ndio kama msimamo wa madhehebu yao, sasa basi ni haki yao kimsingi kufanya hivyo, lakini mimi ningependa sasa na sisi tusiwe kama mazuzu kuwasikiliza tu bila kuhoji, sasa ningependekeza njia nzuri kwanza tuanze kujuwa na elimu zao za kidunia ni za kiwango gani? ili wawe na huo uhalali wa kuzungumzia mambo mazito ya nchi na kuacha ya dini.
Leo ningependa mwenye CV za mufti mkuu wa waislamu Issa Bin Simba na Askofu mkuu wa wakatoliki Mhadhama Kardinary Polycaply Pengo atuwekee hapa CV za hawa viongozi wetu hawa wawili ili tujuwe upeo wao kidunia.
N:B. Asitokee mwehu wa kusema thread hii eti ni ya udini, hapa ni JF where we dare to talk openly. hakuna mkuu nchi hii zaidi ya JAKAYA KIKWETE, lakini hapa anajadiliwa na anachambuliwa in n out.
Karibuni nimefunguwa mjadala.