Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
Moja ya matatizo yetu makubwa, ni kwamba tumezoea sana "groupthink" na collectivism. Pengine kwa sababu kujiamini ni kudogo na pia kuungaunga kwingi.Hizi falsafa za collectivism ndizo zinatufanya tuzunguke katika "vicious circle of poverty". Watu wenye kuuliza mambo provoking and critical wachache, kila mmoja anakuwa restricted na smallmindedness na kuogopa traditions ambazo mpaka leo hazijatusaidia that much.
Critical thinking mara zote huwa haiendi na blatant groupthink, paradigm shifts mara zote huwa haziendi na licensed groupthink, renaissances mara zote huwa haziendi na overt groupthink, why, hata Sarah Palin knows that "only ead fish go with the flow" and George Patton once said if you see people greeing too much that should be enough to show that there is a problem there, the Copernicuses, Galileos, Newtons and Einsteins of this world, just to take examples from science, did not change this world with groupthink.
Exactly,
Naona unajisema mwenyewe hoja yako imeegemea kwenye group thinking ..kwa hao wanazuoni uliowaweka hapo