Ni lazima tugawanyike; Lazima tusiwe na umoja! -Yes I said it

Moja ya matatizo yetu makubwa, ni kwamba tumezoea sana "groupthink" na collectivism. Pengine kwa sababu kujiamini ni kudogo na pia kuungaunga kwingi.Hizi falsafa za collectivism ndizo zinatufanya tuzunguke katika "vicious circle of poverty". Watu wenye kuuliza mambo provoking and critical wachache, kila mmoja anakuwa restricted na smallmindedness na kuogopa traditions ambazo mpaka leo hazijatusaidia that much.

Critical thinking mara zote huwa haiendi na blatant groupthink, paradigm shifts mara zote huwa haziendi na licensed groupthink, renaissances mara zote huwa haziendi na overt groupthink, why, hata Sarah Palin knows that "only ead fish go with the flow" and George Patton once said if you see people greeing too much that should be enough to show that there is a problem there, the Copernicuses, Galileos, Newtons and Einsteins of this world, just to take examples from science, did not change this world with groupthink.

Exactly,
Naona unajisema mwenyewe hoja yako imeegemea kwenye group thinking ..kwa hao wanazuoni uliowaweka hapo
 
Exactly,
Naona unajisema mwenyewe hoja yako imeegemea kwenye group thinking ..kwa hao wanazuoni uliowaweka hapo

Kati ya wanaotaka "umoja", which means kwamba watu wafikiri sawa na kuishi sawa, na anaye advocate ingenuity and lone wolf mentality, nani yupo katika groupthink?

Unaelewa maana ya groupthink?
 
"Demokrasia haipo kwenye kupiga kura, bali kuhesabu kura"

Demokrasia haipo kwenye kupiga kura wala kuhesabu kura. Kwa sababu zoezi zima la kupiga kura ni sehemu ndogo tu ya demokrasia, demokrasia ni kitu kikubwa zaidi ya kura.
 
Umeshaanza ku-qualify "kugawanyika kwend kwenye maana ya kutofautiana kwa mzunguko wa maneno"

Kutengana kiitikadi, kimtazamo, na mwelekeo tayari tunao hapa kwetu ndio maana kuna vyama vina amini serikali mbili nyingine serikali tatu, wengine tunaamini Uislam wewe unaamini ukristo, wengine wanamtazamo wa kipebari wengine ujamaaa..list goes on...wengine wanaamini wageni wengine wanaamini wazawa ni mtazamo na fikra...

Lakini huko si kutengana kama taifa au kama jamii huko ni kutofautiana ambayo hakuna mwenye shida na hayo ..inabidi yaboreshwe zaidi kitaasisi ifikie mahali tofauti za kimawazo na mtazamo iwe huru na malumbano yenye tija na kuibua fikra yafanyike kwa kila uamuzi wa kitaifa...

Ndiyo mgawanyiko tayari tunao lakini si ambao tunautaka wa 90/10 tunataka mgawanyiko angalau wa 50/50 kama ulivyo zanzibar hapo ndipo utakapoona maendeleo hata bungeni hoja dhaifu haipiti kirahisi

hata kwenye ngazi ya familia baba akiwa na nguvu ya maamuzi kwa asilimia 90 huwezi kusema huo ni mgawanyiko fair ni mgawanyiko unaoumiza upande mwingine
 
Back
Top Bottom