Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
Braza......u are missing something here! hujaelewa Philosophy nzima ya ''KUGAWANYIKA'' aliyoisema MM hapo juu mkuu!
Hivi, wamarekani walivyoamua kugawanyika na kuwa na camp mbili - Obama vs John M......kulimwagika damu? Umesema upo nje, umeona huko Ukraine kilichotokea juzi, wale jamaa wamemwaga damu kumpata Yonkovich? (sorry spelling)?
Mbali na camp za Obama na Mc Cain kulikuwa vile vile na camp ya Obama na Hillary Clinton pamoja kuwa wapo chama kimoja