Nooh! Mbona Me alinilea???? Tatizo liko wapi??? Huko anakwenda kusalimia tuu, Yani siku Dada kakorofishana na Mumewe,kumbe mnatumia hisia zaidi ya uhalisia. eti atadhalilika, atadhalilika kwa mtoto wake? wazazi ndio ni baraka kila mtu anafahamu lakini bado haina ulazima wa mtoto wa kiume alazimishe mke wake amlee mama'ke hata kama dada zake wapo na uwezo wa kufanya hivyo. mpeleke mama'ko kwa dada zako uwe unapeleka pesa na mahitaji mengine wao watamuhumia nayo pia ni baraka na uhakika wa kupata huduma nzuri ni mkubwa zaidi kuliko kwa mkeo
Mumewe aanze kumtusi dada yangu mbele ya Mama yangu???? Au aanze kutukana mama na mwana?? Aah!!
Maisha yangu ni Magumu lakini hayajafikia huko haisee! Hiyo Me Kama Jembe siikubali.