Ni lazima kuoa ama kuolewa? Kwanini tusizae tu na kila mtu akaendelea na utaratibu wake?

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,550
Matatizo huanza kwa sababu ya kuoa ama kuolewa, mkiwa mmesha-confirm kuishi pamoja ndani ya himaya moja.

Laiti kama kila mtu angekuwa anaishi kivyake, hata baada ya kuzaa sidhani kama mambo ya wivu yangekuwepo, sidhani kama watu wangepigana hata risasi.

Kulea watoto siyo shida hata mkiwa kila mtu na kwake. Wewe upo Mwanza na mtoto, mimi nipo Dar e Salaam, nikitaka kuonana na mtoto namuona, vivyo hivyo yeye au wewe!

Sioni haja ya kuishi ndani pamoja kama mke na mume.

Hasara ni kubwa kuliko faida.
 
Here are 5 reasons that explain the importance of marriage.

1. Beginning

“Marriage is the beginning—the beginning of the family—and is a life-long commitment. ”
Marriage is the beginning—the beginning of the family—and is a life-long commitment. It also provides an opportunity to grow in selflessness as you serve your wife and children. Marriage is more than a physical union; it is also a spiritual and emotional union. This union mirrors the one between God and His Church.

2. Oneness
When a man and woman get married, the “two become one.” Marriage is a bond like no other. It gives us a life partner, a teammate, as we move through the challenges of life together.

3. Purity
Marriage is designed for purity. We face temptation nearly every minute and from all directions. The bond of marriage gives us the support to defeat temptation by engaging in deep, satisfying love—a love that gives to, and receives from, our mate physically, emotionally, and spiritually.

4. Parenting
When a marriage produces a child or receives a child through adoption, it is one of life’s greatest blessings. Roughly 40% of children being raised today are in a home without a father. The effects of that fact are staggering. Father absence causes increases in mental and behavioral disorders as well as criminal activity and substance abuse. But when children are raised in a healthy marriage, they get a front row seat to see and experience the lasting benefits of a strong family.

5. Love
Marriage is designed to mirror our Creator’s unconditional love for us. It’s a love that will always be there and will never leave us or forsake us. When a man and woman love one another unconditionally, contentment and joy follow.


(c&p)
 
Ndoa ni agano ni maandiko na maagizo ya Mungu kwetu tunaoamini neno lake. Faida za wazazi kulea pamoja watoto ni nyingi zaidi ya hasara.

Pia matukio ya watu kuuana ambayo umechukua kama reference kwenye bandiko lako ni negligible yaweza kuwa 1/1000000.
 
Matatizo huanza kwa sababu ya kuoa ama kuolewa, mkiwa mmesha-confirm kuishi pamoja ndani ya himaya moja.

Laiti kama kila mtu angekuwa anaishi kivyake, hata baada ya kuzaa sidhani kama mambo ya wivu yangekuwepo, sidhani kama watu wangepigana hata risasi.

Kulea watoto siyo shida hata mkiwa kila mtu na kwake. Wewe upo Mwanza na mtoto, mimi nipo Dar e Salaam, nikitaka kuonana na mtoto namuona, vivyo hivyo yeye au wewe!

Sioni haja ya kuishi ndani pamoja kama mke na mume.

Hasara ni kubwa kuliko faida.
Mkuu, kwani wewe umeolewa ama bado??
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom