Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Jamani, mi nimezaliwa nkakuta wabunge, madiwani na kwa hali ya juu mawaziri na rais wakiitwa waheshimiwa. Napenda nijue kuna hadhabu gani ya kisheria au kikanuni iwapo ntamwita kwa jina lake?
Mi sipendi kwakuwa waliowengi hawana vigezo. Mnisaidie
Mi sipendi kwakuwa waliowengi hawana vigezo. Mnisaidie