mzee wa njaa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 1,366
- 223
Mke mtii mumeo na mume mpende mkeo...mkitambua hivyo kila mtu atatimiza wajibu wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamke daima huwa hawezi kujiamini kuwa anaweza fanya kitu flani mwenyewe hata awe na kipato au kazi nzuri,hata kama anapesa zake atahitaji umpatie wewe.Kimsingi ni vizuri watu wakasaidiana katika hilo lakini kutokujiamini kwa wanawake waliowengi ndo imekuwa tatizo
Mkuu mimi hlo kwangu nimelitatua na sasa ni raha mustarehe, mnafungua joint account kipato chake anaweka humo, wote mnakuwa na rty ya kudrow, kwa kuwa wanawake ni wavivu kulipa bili we usimsumbue go & drow & spend nae
ingawa pesa ni zake ila ukilipa wewe anasikia raha sana c wajua akili zao zipo nyuma yetu![/QUOTE]
nyuma ya ****** yenu?
whaaaaaaaaat? hebu watake radhi!!
Mkuu mimi hlo kwangu nimelitatua na sasa ni raha mustarehe, mnafungua joint account kipato chake anaweka humo, wote mnakuwa na rty ya kudrow, kwa kuwa wanawake ni wavivu kulipa bili we usimsumbue go & drow & spend nae
ingawa pesa ni zake ila ukilipa wewe anasikia raha sana c wajua akili zao zipo nyuma yetu![/QUOTE]
nyuma ya ****** yenu?
......mimi simo lol.........
Shantel sikutegemea kuwa una mawazo potofu, nahisi umeongea tu humaanishi. Unajua wanawake wanafikiri kila siku ni siku kuu. Imagine huyo ana kipato bado anataka mawanaume afanye. Ebu tuwafikirie waume zetu halafu tujiweke kwenye position zao uone kama unaweza kufanya.
Nashukuru Mungu, mimi nikipata mshahara wangu naweka mezani salary slip na yake halafu tunapanga nini kifanyike kwa mwezi mzima, zinazobaki tunagawanya mara 2 kila mmmoa anaweka kwenye kibubu chake. Imagine mumeo anakata roho na ulishazoea kufanyiwa? mwezi tu baada ya kifo chake unaanza kutafuta mwanaume wa kukuoa maana huna uwezo wa kujitegemea.
Kaka ngoja nikupe mbinu za kumfix huyo mwenzako. Kwanza kabisa kata matumizi ya kipuuzi kama salon, cloth etc. Ubaki na vitu muhimu kama chakula kwa watoto na mengineyo. Kama huna watoto, nunua gunia la maharage, unga weka ndani halafu tulia. Akikosea akauliza mpe live kwamba umeshoshwa na ubahili wake kama hawezi kula TO HEAL!
Usiendekeze wapumbavu.