Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Mamboz ma great thinkers? Hivi,
Nikiweka post inayohusu eg mapenzi ni lazima hicho ninachoongelea kiwe kinanihusu mimi?
Cann't i say something on behalf of someone?
Halafu, tunatakiwa kuchangia hoja na mtoa hoja au tunachangia hoja tu.
Naombeni kueleweshwa jamani, sina muda mrefu kwenye huu mkeka.
Nikiweka post inayohusu eg mapenzi ni lazima hicho ninachoongelea kiwe kinanihusu mimi?
Cann't i say something on behalf of someone?
Halafu, tunatakiwa kuchangia hoja na mtoa hoja au tunachangia hoja tu.
Naombeni kueleweshwa jamani, sina muda mrefu kwenye huu mkeka.