mimi mwenyewe naunga mkono ya kuwa kamhanda naye anatakiwa aende polisi ijapokuwa na yeye ni askari kwani amefanya maovu makubwa najiuliza tume iliyoundwa ni kweli ni tume iliyo huru kiasi kwamba sisi wananchi tuiamini kwa upande wangu ni kitu ambacho hata siafiki kwani watuhumiwa wanafahamika na wanaonekana kwenye picha je hapo tume ya nini kikubwa ni kuawa wakamatwe na wafikishwe kwenye vyombo husika kama walivyo watuhumiwa wngine
jamani watz wenzangu kumbe siku hiyo yanatokea mauaji huko ilinga ccm pia ilikuwa na mkutano wao wa chama na hakuna aliyewaingilia kwenye kikao chao au ndo kusema kuwa wao wako juu ya sheria kuliko vyama vingine pia siku hiyo nasikia kuwa tindu lisu alikuwa arusha kwenye mkutano wa hadhara lakini fujo haikutikea kwa nini iwe ilinga peke yake hapo bado mimi bado sijaelewa na kama suala lilikuwa ni sensa mbona wao walifanya mkutano je suala la sensa ni kuwa lilikuwa ilinga peke yake kwa nchi ambazo zinafuata utawala wa sheria sual hili waliohusika wangekuwa tayari wamekwisha kwenye vyombo husika lakini kwa kuwa ni tz ndo maana linapigwa danadana kila kukicha
kuna suala la waandishi wengine watatu ambao hadi sasa tunasikia kuwa wanatafutwa na polisi kama watuhumiwa je wamekosa nini mbele ya hawa polisi dhalimu mmoja wa hawa waandishi wa habari alipokwenda mwenyewe kujisalimisha kwa polisi polisi walikana ya kuwa walikuwa hawamtafuti lakini ukweli ni kuwa walikuwa wanamtafuta kwa udi na uvumba
lakini pia ilithibitika ya kuwa polisi wenyewe walikiri kwa vinywa vyao ya kuwa walikuwa wanashinikzwa na wakuu kutoka juu bila ya matakwa yao wenyewe
jambo jingine ni kuwa RPC wa wa mkoa alitaarifiwa na mmoja wa raia ya kuwa anayepigwa si mwanaharakati bali ni mwandishi wa habari lakini polisi waliendelea kumpiga hadi kumtoa uhai
kwa namna hii tutafika kweli
jamani watz wenzangu kumbe siku hiyo yanatokea mauaji huko ilinga ccm pia ilikuwa na mkutano wao wa chama na hakuna aliyewaingilia kwenye kikao chao au ndo kusema kuwa wao wako juu ya sheria kuliko vyama vingine pia siku hiyo nasikia kuwa tindu lisu alikuwa arusha kwenye mkutano wa hadhara lakini fujo haikutikea kwa nini iwe ilinga peke yake hapo bado mimi bado sijaelewa na kama suala lilikuwa ni sensa mbona wao walifanya mkutano je suala la sensa ni kuwa lilikuwa ilinga peke yake kwa nchi ambazo zinafuata utawala wa sheria sual hili waliohusika wangekuwa tayari wamekwisha kwenye vyombo husika lakini kwa kuwa ni tz ndo maana linapigwa danadana kila kukicha
kuna suala la waandishi wengine watatu ambao hadi sasa tunasikia kuwa wanatafutwa na polisi kama watuhumiwa je wamekosa nini mbele ya hawa polisi dhalimu mmoja wa hawa waandishi wa habari alipokwenda mwenyewe kujisalimisha kwa polisi polisi walikana ya kuwa walikuwa hawamtafuti lakini ukweli ni kuwa walikuwa wanamtafuta kwa udi na uvumba
lakini pia ilithibitika ya kuwa polisi wenyewe walikiri kwa vinywa vyao ya kuwa walikuwa wanashinikzwa na wakuu kutoka juu bila ya matakwa yao wenyewe
jambo jingine ni kuwa RPC wa wa mkoa alitaarifiwa na mmoja wa raia ya kuwa anayepigwa si mwanaharakati bali ni mwandishi wa habari lakini polisi waliendelea kumpiga hadi kumtoa uhai
kwa namna hii tutafika kweli