MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 349
waungwana leo nimeingia kwenye daladala nikawa nimesimama mara akaingia mzee na mwanafunzi wasekondali kama watatu kutoka kituo kinachofuata. yule mzee akawauliza wale wanafunzi ilikuwa hivi :-
Mzee: Hamjambo watoto?
Wanafunzi: Hatujambo shikamoo!
Mzee: Marahabaa! mnasoma wapi?
Wanafunzi: Shule ****** secondali
Mzee: Mpo kidato cha ngapi?
Wanafunzi: Kidato cha pili
Mzee: Safi sana hebu niambieni hivi sasa Tanzania ninamikoa mingapi?
Wanafunzi: Hatujui babu
Mzee: Hamjui? wanafunzi wa kidato cha pili hamjui?
Wanafunzi: Sio sisi tuu hata gali zima hili hawajui maana kila siku nchi yetu mikoa ninaongezeka
Mzee: Ndio inatangazwa kila siku lakin inapaswa kujua mikoa na wilaya zake. umesema gali zima hawajui?
Wanafunzi: Ndio wangekuwa wanajua wangeshajibu.
(Kweli gali zima lilikuwa kimya nikiwemo kama kawaida kondakta hawakosi kuropoka au kuongea)
Konda: Nyinyi wanafunzi mnajua nini kama sio Fasebuku tuu mikoa ipo 120 Kama makabila yapo 26 kazi yenu facebuku tuu ndio maana hamjui.
KIUKWELI WOTE TULIBAKI KIMYA ZAID NA KUTOKANA ILIKUWA HASUBUHI HAKUNA ALIEKUWA ANAZUNGUMZA. SWALI LANGU NI HILI MAANA NA MIMI NILISHINDWA HEBU NITAJIENI KUNAMIKOA MINGAPI KWA SASA NA WILAYA NGAPI TANZANIA?
Mzee: Hamjambo watoto?
Wanafunzi: Hatujambo shikamoo!
Mzee: Marahabaa! mnasoma wapi?
Wanafunzi: Shule ****** secondali
Mzee: Mpo kidato cha ngapi?
Wanafunzi: Kidato cha pili
Mzee: Safi sana hebu niambieni hivi sasa Tanzania ninamikoa mingapi?
Wanafunzi: Hatujui babu
Mzee: Hamjui? wanafunzi wa kidato cha pili hamjui?
Wanafunzi: Sio sisi tuu hata gali zima hili hawajui maana kila siku nchi yetu mikoa ninaongezeka
Mzee: Ndio inatangazwa kila siku lakin inapaswa kujua mikoa na wilaya zake. umesema gali zima hawajui?
Wanafunzi: Ndio wangekuwa wanajua wangeshajibu.
(Kweli gali zima lilikuwa kimya nikiwemo kama kawaida kondakta hawakosi kuropoka au kuongea)
Konda: Nyinyi wanafunzi mnajua nini kama sio Fasebuku tuu mikoa ipo 120 Kama makabila yapo 26 kazi yenu facebuku tuu ndio maana hamjui.
KIUKWELI WOTE TULIBAKI KIMYA ZAID NA KUTOKANA ILIKUWA HASUBUHI HAKUNA ALIEKUWA ANAZUNGUMZA. SWALI LANGU NI HILI MAANA NA MIMI NILISHINDWA HEBU NITAJIENI KUNAMIKOA MINGAPI KWA SASA NA WILAYA NGAPI TANZANIA?