kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 1,863
- 3,473
Habari zenu wakuu,
Kwa muda Sasa nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kuhusu Hawa dada zetu wanaofanya biashara ya kuuza mwili. Sababu zipi zinafanye wajiingize huko? Pesa, tamaa za mwili au laana?
Na yapi madhara ya kuwatumia ukiacha magonjwa ya zinaa?
Kwa muda Sasa nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kuhusu Hawa dada zetu wanaofanya biashara ya kuuza mwili. Sababu zipi zinafanye wajiingize huko? Pesa, tamaa za mwili au laana?
Na yapi madhara ya kuwatumia ukiacha magonjwa ya zinaa?