mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,823
- 106,001
Juhudi zao binafsi, syo hao wengine mtu Anakuwa bilionea Ktk kipindi cha mwaka 1 wapi na wapi
Juhudi zao binafsi, syo hao wengine mtu Anakuwa bilionea Ktk kipindi cha mwaka 1 wapi na wapi
CCM ni chama makini chenye watu wengi wenye sifa za uongozi, daima kitaendelea kuchaguliwa
hapa kuna mbowe ?
ushahidi huu hapa , unajua bhana bila nyaraka kama hizi wengine watadhani unaongopa .
kijana una uwezo mdogo sana!kubandika picha tu haitoshi, tupe maelezo ya hao watu ni wa wapi na majina yao, otherwise hizo ni photoshops.
kwi! kwi! kwiiii !!!!!Umekosa hoja unaanza kuhororoja na kubwabwaja bila mpango.
kijana una uwezo mdogo sana!
Ni mawazo yangu tu, kwa takribani miaka zaidi ya 50. CCM imejichotea utajiri wa nchi yetu na kugawanya miongoni mwao.
Tumepigika mno, sasa ni wakati wa kuamua kupisha vyama vingine.
UKAWA!!!! Tumaini letu!!
CCM ni chama makini chenye watu wengi wenye sifa za uongozi, daima kitaendelea kuchaguliwa
Juhudi zao binafsi, syo hao wengine mtu Anakuwa bilionea Ktk kipindi cha mwaka 1 wapi na wapi
Kwani CCM wao siyo watanzania? Inatumiaje ujinga na umaskini wa watanzania? Au ccm ni wageni? Kama wao siyo wajinga basi acha waendelee kutawala hawa wajinga na maskini ukiwemo wewe. Mimi ni mtanzania ila siyo mjinga wala maskini.
Ni mawazo yangu tu, kwa takribani miaka zaidi ya 50. CCM imejichotea utajiri wa nchi yetu na kugawanya miongoni mwao.
Tumepigika mno, sasa ni wakati wa kuamua kupisha vyama vingine.
UKAWA!!!! Tumaini letu!!
Ni mawazo yangu tu, kwa takribani miaka zaidi ya 50. CCM imejichotea utajiri wa nchi yetu na kugawanya miongoni mwao.
Tumepigika mno, sasa ni wakati wa kuamua kupisha vyama vingine.
UKAWA!!!! Tumaini letu!!
Ni kwl Mkuu lakini hao Ukawa wenyewe hawaeleweki.. Hawana mbele wala nyma, kuxhto wala kulia