babatovu
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 2,739
- 1,600
ngonyani ukiondoa ngo utakuwa nyani
Kweli duniani kuna watu na viatu, sasa ume comment uchafu gani hapa. Lakini sikushangai kwani hata viongozi wa CCM wapo hivi
ngonyani ukiondoa ngo utakuwa nyani
+ vibaka wa wazinzi. Hadi wanafungana kugombe bar maid
Usizihaki Jina La Bwana Mungu. Rekebisha hiyo heading.
sijawahi ona Mngoni mpuuzi kama wewe
sijawahi ona Mngoni mpuuzi kama wewe
Ulichoandika unakielewa mwenyewe..... Eti Ccm Nao Wameiga Cdm Mitano Yao Wanamuomba Mungu. Yaani Ccm Ni Chama Cha Mazombi
Kwani CCM wao siyo watanzania? Inatumiaje ujinga na umaskini wa watanzania? Au ccm ni wageni? Kama wao siyo wajinga basi acha waendelee kutawala hawa wajinga na maskini ukiwemo wewe. Mimi ni mtanzania ila siyo mjinga wala maskini.ccm inatumia ujinga na umasikini wa watanzania ili kuendelea kutawala.
Vijana wanajiandikisha mwamko upo mpaka magamba wanaingiwa na hofu,ila tuendelee kuhamasishanaMtu aliye ichoka serious ccm akajiandikishe, mambo ya kuja kuwa kamaMrema 1995 atutaki. Changes its for youth but mkajiandikishe.