Simchezo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 445
- 345
Mambo wana JF?
Kuna jamaa ameniambia leo kwamba haiwezekani mke wa mtu kuachana na boyfriend wake wa mwanzo kabla ya kuolewa na hasa kama hawakua na ugomvi, kwamba jamaa anaweza kuenjoy nae anytime akitaka ingawa sasa ameolewa, hii imekaaje? Maana wengine tumeoa.
Kuna jamaa ameniambia leo kwamba haiwezekani mke wa mtu kuachana na boyfriend wake wa mwanzo kabla ya kuolewa na hasa kama hawakua na ugomvi, kwamba jamaa anaweza kuenjoy nae anytime akitaka ingawa sasa ameolewa, hii imekaaje? Maana wengine tumeoa.