Wanajamvi nilikuwa napitia gazeti la CCM na nimeshengazwa na kukutana na kichwa cha habari kwamba tovuti yao imechakachuliwa na wahuni na waliofanikiwa kuendesha KURA YA MAONI ya URAIS wa JMT ambapo Dr. Slaa ameibuka mshindi.
Kwakweli hali si nzuri na jamaa wanajaribukujikosha ili kibarua chao kisiote nyasi. Naamini kabisa ni wao wenyewe ndio walioendesha hiyo poll na wakadhani wapenzi wa CCM watawapiga tafu ilikupata matokeo wanayoyataka wao. Kipigo walichopata ni kielelezo tosha kwamba watanzania wamechoka na ubabaishaji wa CCM na mwaka huu lazima kieleweke!!
Chanzo hapa chini:
Tovuti ya Uhuru yachakachuliwa
Kwakweli hali si nzuri na jamaa wanajaribukujikosha ili kibarua chao kisiote nyasi. Naamini kabisa ni wao wenyewe ndio walioendesha hiyo poll na wakadhani wapenzi wa CCM watawapiga tafu ilikupata matokeo wanayoyataka wao. Kipigo walichopata ni kielelezo tosha kwamba watanzania wamechoka na ubabaishaji wa CCM na mwaka huu lazima kieleweke!!
Chanzo hapa chini:
Tovuti ya Uhuru yachakachuliwa