Habari za humu wana jamii forum wote.
Hii mada imemili sana katika suala la maamuzi ya Wanawake hasa katika mambo kadha wa kadha ila hasa katika mahusiano.
Mada hii naiweka katika mtindo wa swali na hii ni kutokana na watu wengi huwa wanawasema Wanawake ya kuwa wanatumia sana hisia badala ya akili.
Swali
Je ni kweli Wanawake mnatumia hisia badala ya akili katika kutoa maamuzi au ukweli ni kinyume chake ?
Karibuni sana.
Hii mada imemili sana katika suala la maamuzi ya Wanawake hasa katika mambo kadha wa kadha ila hasa katika mahusiano.
Mada hii naiweka katika mtindo wa swali na hii ni kutokana na watu wengi huwa wanawasema Wanawake ya kuwa wanatumia sana hisia badala ya akili.
Swali
Je ni kweli Wanawake mnatumia hisia badala ya akili katika kutoa maamuzi au ukweli ni kinyume chake ?
Karibuni sana.