Ni kweli wakenya wanatushinda kwa technology?

Mgumu04

JF-Expert Member
Jul 15, 2011
1,934
1,043
habari ya boxing day wakuu?
Nimeleta uzi kwenu ili tujadili na kutoa mawazo yetu ambayo yatatusaidia kuondokana na unyonge uliopo katika sector ya IT.
Kumekuwa na maneno mengi sana kuhusu nani yupo juu kitechnolojia kati ya wakenya na watanzania kila mtu amekuwa akisifia nchi yake ipo juu zaidi ya nyingine bila hata ya kutoa mifano je ni technolojia ipi ambayo wamevumbua?
Chukula mfano kwamba kenya wapo juu ya watanzania je ni kweli sisi tunashindwa kufikia level ya wakenya? kwanini tusiwaalike kwenye camps ambazo zipo tanzania na kuja kutufundisha? kwanini wasiwe wanaandika hapa jukwaani hatua ambazo walizitumia kufikia hapo walipo?
mchango wako ni muhimu sana ili watu wayatumie mawazo yako kubadilisha fikra katika uwanja wa technolojia.
 
Yah wapo great sana wao practically zaidi nawakubali especially kwenye graphics design na coding
 
Alafu kingne wakenya toka mwanzo waliwekeza sana upande wa masomo ya sayansi, ndo maana utakuta waliosoma sayansi ni wengi sana kuliko wa art.. Afu kingine Tanzania tulikua mstari wa mbele kuendeleza lugha ya kiswahili wakati wa kenya kipindi wao waligoma kabisa kuwa kiswahili iwe lugha ya kufundishia. Ndo magape yalipoanza hapo wengi wao wameenda sana kusoma abroad! Kulinganisha na sisi. Mara ya kwanza nimefika uingereza nimewakuta wakenya ni wengi sana. POINT YANGU YA MSINGI NI HAPO JUU, WAKENYA WALIWEKEZA SANA KWENYE Sayansi.
 
asante mkuu nimekuelewa
Alafu kingne wakenya toka mwanzo waliwekeza sana upande wa masomo ya sayansi, ndo maana utakuta waliosoma sayansi ni wengi sana kuliko wa art.. Afu kingine Tanzania tulikua mstari wa mbele kuendeleza lugha ya kiswahili wakati wa kenya kipindi wao waligoma kabisa kuwa kiswahili iwe lugha ya kufundishia. Ndo magape yalipoanza hapo wengi wao wameenda sana kusoma abroad! Kulinganisha na sisi. Mara ya kwanza nimefika uingereza nimewakuta wakenya ni wengi sana. POINT YANGU YA MSINGI NI HAPO JUU, WAKENYA WALIWEKEZA SANA KWENYE Sayansi.
sana.
 
habari ya boxing day wakuu?
Nimeleta uzi kwenu ili tujadili na kutoa mawazo yetu ambayo yatatusaidia kuondokana na unyonge uliopo katika sector ya IT.
Kumekuwa na maneno mengi sana kuhusu nani yupo juu kitechnolojia kati ya wakenya na watanzania kila mtu amekuwa akisifia nchi yake ipo juu zaidi ya nyingine bila hata ya kutoa mifano je ni technolojia ipi ambayo wamevumbua?
Chukula mfano kwamba kenya wapo juu ya watanzania je ni kweli sisi tunashindwa kufikia level ya wakenya? kwanini tusiwaalike kwenye camps ambazo zipo tanzania na kuja kutufundisha? kwanini wasiwe wanaandika hapa jukwaani hatua ambazo walizitumia kufikia hapo walipo?
mchango wako ni muhimu sana ili watu wayatumie mawazo yako kubadilisha fikra katika uwanja wa technolojia.
technology ya nini mzee, ya wizi? na ni wakenya wepi? wajaluo, wakamba, wakikuyu (pesona non grata wa tz), wakisiii au wa wapi?
 
Yawezekana ikawa ni kweli kwamba wenzetu kwa Tech wakawa poa zaidi maana wao hupenda kuweka vitu in Reality(Practicals) kuliko sisi Wabongo ambao hupenda kuongea tuu(Theory). Katika ulimwengu huu wa Tech utaonekana kama upo juu pale tuu unapo weka Vitu katika Uhalisia.
Ukitaka kujua wenzetu wamefikia wapi katika hili ni pale tuu tunapo ona Kampuni kubwa kama Volkswagen wanapo amua Kufungua VINU kwa ajili ya utengenezaji wa magari yao nchini Kenya. Sio hayo tuu, Kenya ni Nchi ya kwanza hapa Africa Mashariki kutengeneza Computer Mpakato(Laptop) je wabongo tuna ubavu gan mbele yao?? Mtu ana PHD ya hii kitu ila hata kutengeneza Memory Card ni kizungumkuti.

Blaa blaa staki Kusikia, wacha maneno weka IT in practical(in darasa's Voice) :D:D:D:D!

Well they deserve to be on Top of Us.
 
Alafu kingne wakenya toka mwanzo waliwekeza sana upande wa masomo ya sayansi, ndo maana utakuta waliosoma sayansi ni wengi sana kuliko wa art.. Afu kingine Tanzania tulikua mstari wa mbele kuendeleza lugha ya kiswahili wakati wa kenya kipindi wao waligoma kabisa kuwa kiswahili iwe lugha ya kufundishia. Ndo magape yalipoanza hapo wengi wao wameenda sana kusoma abroad! Kulinganisha na sisi. Mara ya kwanza nimefika uingereza nimewakuta wakenya ni wengi sana. POINT YANGU YA MSINGI NI HAPO JUU, WAKENYA WALIWEKEZA SANA KWENYE Sayansi.
Siyo kweli kwamba wakenya walisoma sayansi na sisi kiswahili kumbuka wakenya walikubali kukumbatia ubepari (capitalist) elimu ya kimagharibi na ss tilikumbatia ujamaa (comminist) elimu ya kijamaa kutoka USSR sasa Urusi
 
Back
Top Bottom