aikaruwa1983
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,398
- 1,499
ulihusika.........Siyo kweli
ulihusika.........Siyo kweli
KUna watu wana tabia za kutuma by nature... kitu kidogo tu atahitaji msaadaMaswali mengine yanaitaji kushirikisha ubongo wako kidogo.
President----> The leader of a REPUBLIC, The person in charge of some organizations- clubs, colleges, The Bank, etc.
Mkuu fafanua Rais wa aina gani hapo juu kwenye red ili usaidiwe.
salute hao ndan ya ikuluThandekile Matina Zuma alimzalia Rais wa Afrika kusini Jacob Zuma mtoto wa 20 mwaka 2010 october.
Jacqueline Kennedy mke wa Rais wa Marekani alimzalia mtoto wa kiume anayeitwa Patrick Rais wa marekani bwana John F.Kennedy katika hospital ya Otis air force base hospital tarehe 08/08/1963. Mia
ikulu ya daruso ipo wap tz hpWewe ni nouumaaa
yule mke wa 3 wa j.k si anamtoto mdogo?
Kumbukumbu zangu zinaonyesha Madaraka Nyerere alizaliwa 1964. I stand to be corrected.
Tz iliwah tokea kipindi ya mwalimu nyerere.,Uko sawa Mwali.
View attachment 44516
The picture was taken in Sep 2011.
French first lady Carla Bruni-Sarkozy gave birth to a baby girl on Wed 19, Oct 2011 night the first infant born to a sitting president of modern-day France
Maswali mengine yanaitaji kushirikisha ubongo wako kidogo.
shemeji atashikaje mimba na ana dozi ya arv?tusimjaribu mungu jamani