Ni kweli Waafrika tunastahili jina hili?

Yaaani mzungu akiongea pumba unamsapoti. Waafrika tuna mapungufu yetu lakini tukumbuke nchi zetu bado ni changa ila tutafika tu kwenye maendeleo. Ethiopia miaka ya tisini ilikumbwa vita na njaa dunia nzima ililia ila leo ina hadi matreni ya umeme kama ulaya. Tusijilinganishe na China na India hizo nchii zina maendeleo kwa muda mrefu kabla hata hazijatawaliwa na wakoloni. Ni falme za kale sana za dunia hii. Hizo nchi za kusini mwa afrika zilikua na uchumi mkubwa ila sio jumuishi bali umeshikwa na wazungu. Waafrika walikua watu wa chini sana hawakunufaika. Mwaka huu katika nchi kumi zinazokua uchumi kwa kasi karibia nusu zinatoka Afrika.
Mi napenda tu tunavyo farijiana though sio kwa fact, lazima kuna kitu hakipo sawa kwetu weusi; hapo kwenye Bold, hivi UCHANGA wa weusi unatakiwa kwenda hadi miaka mingapi? Ghana imepata uhuru mwaka 1957 na Misri imepata uhuru mwaka gani? Hivi je, kati ya Misri na Ghana wapi kuna maisha mazuri!? Halafu hapo kwenye underline, hayo matreni ya Ethiopia nani kayatengeneza!? Si tunanunua kila kitu kwa hao hao weupe so siwezi isifia Ethiopia kwasababu ya kununua vitu toka kwa weupe halafu nije niseme wao wana akili, Laa, but again nchi kama Ethiopia, hi ndio kabisa haikutawaliwa so kama kigezo kingekua kutawaliwa ndio umasikini wa weusi then Ethiopia could be very far kulinganisha nchi nyingine za Kiafrika; hapo kwenye italic ndio sijaelewa kabisa, kwanini weusi tulikua jamii ya watu wenye hali za chini sana ili hali wote, weupe kwa weusi tulikuwepo duniani toka dahari na dahari!!!!? There is something wrong with we blacks, hata kama tukikataa ni kujifariji tu na kuamua kujidanganya tu wenyewe, we need to work up.
 
Simzungumzii mtu mmoja mmoja, soma maelezo nilio andika kabla ya ku comment mkuu; well, nitajie nchi yoyote inayo kaliwa na weusi duniani na imeendelea kuwazidi Wazungu au watu weupe. Na kwenye maelezo yangu hapo juu nimezungumzia excuses ya weusi wengi kwamba tupo masikini (kama nchi sio individuals) kwasababu ya ukoloni, nimetolea mifano ya nchi nyingi ambazo si za weusi Vs na za weusi kwamba nazo pia zilitawaliwa kama sisi, why wao wametoka na weusi bado hatujatoka!? Mbaya zaidi hizi nchi za weusi zina rasilimali nyingi zaidi kuliko hata huko kwa weupe but still we depend on everything from them, WHY, HOW!?
Nigeria, Angola, Sudan, Ethiopia,Kenya na Tanzania zina GDP kubwa kuliko Slovenia,Lithuania,Serbia,Azerbaijan,Bolivia, Georgia, Montenegro, Nicaragua na nchi nyingi tu za Asia, Americas na Ulaya
 
Mi napenda tu tunavyo farijiana though sio kwa fact, lazima kuna kitu hakipo sawa kwetu weusi; hapo kwenye Bold, hivi UCHANGA wa weusi unatakiwa kwenda hadi miaka mingapi? Ghana imepata uhuru mwaka 1957 na Misri imepata uhuru mwaka gani? Hivi je, kati ya Misri na Ghana wapi kuna maisha mazuri!? Halafu hapo kwenye underline, hayo matreni ya Ethiopia nani kayatengeneza!? Si tunanunua kila kitu kwa hao hao weupe so siwezi isifia Ethiopia kwasababu ya kununua vitu toka kwa weupe halafu nije niseme wao wana akili, Laa, but again nchi kama Ethiopia, hi ndio kabisa haikutawaliwa so kama kigezo kingekua kutawaliwa ndio umasikini wa weusi then Ethiopia could be very far kulinganisha nchi nyingine za Kiafrika; hapo kwenye italic ndio sijaelewa kabisa, kwanini weusi tulikua jamii ya watu wenye hali za chini sana ili hali wote, weupe kwa weusi tulikuwepo duniani toka dahari na dahari!!!!? There is something wrong with we blacks, hata kama tukikataa ni kujifariji tu na kuamua kujidanganya tu wenyewe, we need to work up.
Yes wazungu wako na maendeleo kuliko race zote sio weusi tu. Ndo maana ulaya watu wa mataifa yote wakiongozwa na waarabu wanakimbilia huko. Kwasababu hio huwez angalia maendeleo yao ukasema watu weusi wanashida. Dunia ina mataifa yapatayo 194. Je ni mataifa mangapi yanatengeneza hayo matreni unayosema???Mangapi hayatengenezi???Katika yasiyotengeneza mangap ni mataifa ya watu weupe na mangapi ya watu weusi???

Ninachopinga ni kutumia maendeleo ya wazungu kuwasema vibaya watu weusi...wazungu wake na maendeleo kuliko races zote za dunia hii. The world is not only black and white as you take it.
 
Huo sio ukweli na ni uongo asilimia 100.

Vyanzo vilivyofanya Afrika iwe hivi ilivyo ni
Mazingira
Elimu mbovu
Siasa mbovu
Dini

Wengi watakataa kwenye dini sababu tangu wamezaliwa dini ndo cha kwanza kukijua.

Ila cha ajabu wanashindwa kujiuliza dini zimeingiaje Afrika?
 
Wanasogeza pua zao Africa kufanya nini hawa, wanatuchulia poa ivi wamewahi imagine kama wasinge colonize Africa wangekuwa wapi . Where would they catch cheap labours, areas to invest, and market?. We would have reached far if our fellow africans skilled at iron works had not their hands chopped off, those brutal rotten-sewaged criminals are nothing but pieces of soiled shits
 
endelea kujishusha mwenyewe kuwa unafanana na nyani lakini the real fact is without Africa and Africans no surviving in west,east,north,south and all over the world..mwafrika anategemewa sana na hao wanao tudharau kama nguzo zao katika ukuaji wa uchumi wa nchi zao..tatizo hampendi kuzama deep nakujua source ya haya yote hamtaki kusoma vitabu vilivyo andkwa na hao wanao tuita nyani,na wengine wazalendo wa kweli..
kwakifupi soma hiki kitabu "why Europe underdeveloped Africa" by Walter Rodney pia ukimakimaliza mtafute Abdurahiman Babu katika African socialism or Socialist Africa...Jitambueni kwanza kabla ya kujifananisha na manyani
Sorry mkuu, pamoja na kwamba nami sijapenda sana huo ukweli but hebu soma UZI halafu linganisha na ulicho kiandika, is like unakubaliana na jamaa kwamba tuweza kuyafanya maisha ya hao uliowasema while sisi tunaishi vibaya, mfano huyo Mjerumani kautolea kwamba, sisi ndio wenye Tanzanite but wauzaji wakubwa duniani ni Israel na India; huoni kama umemkubaliana mleta uzi indirect?
 
Tumeacha mungu wa baba zetu tumegeukia miungu ya kigeni' din za wenzetu kama uislamu na ukisto sio asili zetu ,tumeacha matambiko
 
endelea kujishusha mwenyewe kuwa unafanana na nyani lakini the real fact is without Africa and Africans no surviving in west,east,north,south and all over the world..mwafrika anategemewa sana na hao wanao tudharau kama nguzo zao katika ukuaji wa uchumi wa nchi zao..tatizo hampendi kuzama deep nakujua source ya haya yote hamtaki kusoma vitabu vilivyo andkwa na hao wanao tuita nyani,na wengine wazalendo wa kweli..
kwakifupi soma hiki kitabu "why Europe underdeveloped Africa" by Walter Rodney pia ukimakimaliza mtafute Abdurahiman Babu katika African socialism or Socialist Africa...Jitambueni kwanza kabla ya kujifananisha na manyani
Jamaa hajielewi huyo,amemuamini mojamoja kwa moja bila ya kufanya uchunguzi wala kufikiria juu ya asili yake. nadhan hata katika real life anapata shida sana maana maisha yake yanaendeshwa na mawazo ya watu kama hao
 
Hakuna asiye jua hilo kwamba Ulaya ilifanya hicho alicho kisema mwandishi but je is it only Africa ndio walifanya hayo!? Mataifa karibu yote ya Asia may be except Japan yalitawaliwa, yaani India, China, Korea zote 2, Indonesia, Malaysia, Australia nk, wote hao walitawaliwa but kwanini sisi bado ni masikini hivi!? Well, hebu ichukue nchi kama Haiti ambayo ina zaidi ya miaka 200 ikiwa huru na tena wala haiku Africa ila ni weusi wenzetu, wale ni masikini wa kutupwa I mean ni mafukara. So kusingizia ukoloni au kutawaliwa na umasikini wetu ni excuse iliopitwa na wakati sana, sisi hatupo sawa na wengine, period
Umefuatilia vizuri historia ya Haiti? Walikuwa wanalipa deni kwa ufaransa tangu walipopatiwa uhuru karne ya 19 huko. Ni majuzi kati tu wameacha kufanya hivyo. Soma vitabu.
 
Umefuatilia vizuri historia ya Haiti? Walikuwa wanalipa deni kwa ufaransa tangu walipopatiwa uhuru karne ya 19 huko. Ni majuzi kati tu wameacha kufanya hivyo. Soma vitabu.
Story za kufikirika hizo, Haiti ni miongoni mwa nchi zenye kunuka umasikini sana kule America, sihitaji kusoma kitabu chochote kuihusu Hait, macho tu yanatosha. Yaani ni sawa na mfanyakazi au dereva wa magari ya MO eti aanze kumlipa Mo mwenyewe, kwenye hiyo pesa ambayo MO atakua analipwa yaani ye mwenyewe MO hatakua anaona eti kuna kijipesa kimeingia kwenye account yake, peanuts.

Anyway, let us make this way; nchi za Africa/weusi mostly tumepata uhuru sawa sawa na nchi za race nyingine, kwanini sisi bado ni omba omba while we have everything? News land ndio supplier wakubwa wa choculate duniani but wala hawalimi Cocoa ambayo ndio raw material ya kutengenezea hiyo kitu, wanatoa Africa hasa Ghana, je umeisha wahi kuona Choculate kutoka Ghana? Ninao jamaa zangu kibao from Ghana, majatiri wa Ghana (mfano kama kina Reginand Mengi kwa Tanzania ) eti hata service ya magari yao, wanapeleka kwenye nchi yaliko tengenezwa, mfano Benz, VW, Audi wanazipeleka German just for normal services. Weusi tutaendelea tu mara baada ya kujua kwamba tunalo tatizo, kuendelea kulikataa tatizo tulilo nalo ndio tunavyo zidi kua wajinga. Ugonjwa hauondoki mwilini kwa kujidanganya kwamba huumwi, until umekubali kwamba unaumwa ndipo akili ya kwenda kwa hospital itakapokuijia na utapona. Matajiri wakubwa hapa EAC is almost WAHINDI, why not blacks?????
 
Back
Top Bottom