Ni kweli viongozi wetu wengi ni wagonjwa?

na kwa hali hiyo usije ukaona ajabu kwa kutoa maelezo ya hovyo hovyo, kusimamia na kutetea mikataba mibovu, utendaji mbovu, ubabe, kuwaibia na kuwadhulumu wanyonge,kutojali kitu, yote hii hii mijoka ya midimu (sinania ya kuwacheka au kuwazomea lkn huo ndo ukweli wa wayafanyayo) inafanya hivo sbb they feel they have nothing to loose... to them life doesn't matter...
 
Jikumbusheni hoja na wachangiaji wa zamani, kuna mengi ya kujifunza.[/QUOTE]


Dada FF,

Mimi sio mtu wa siku nyingi JF, na hata juzijuzi nilicomment kuwa there are some people "Think Tanks" we are missing, wewe ni mmoja wa watu wa siku nyingi JF.

Ninachojiuliza, ni kwamba JF imevamiwa na dotcom hivyo wale Think Tanks wakaamua kuachana nayo au?. Thread za nyuma were constructive, argumentative and educational, infact mtu ukizisoma unaona kweli ni GT, naona wamebaki wachache like MM, NN, Mkandara yourself and few others.

Now what can we do to bring back the old JF of GT?

I miss JF
 
Jikumbusheni hoja na wachangiaji wa zamani, kuna mengi ya kujifunza.

Dada FF,

Mimi sio mtu wa siku nyingi JF, na hata juzijuzi nilicomment kuwa there are some people "Think Tanks" we are missing, wewe ni mmoja wa watu wa siku nyingi JF.

Ninachojiuliza, ni kwamba JF imevamiwa na dotcom hivyo wale Think Tanks wakaamua kuachana nayo au?. Thread za nyuma were constructive, argumentative and educational, infact mtu ukizisoma unaona kweli ni GT, naona wamebaki wachache like MM, NN, Mkandara yourself and few others.

Now what can we do to bring back the old JF of GT?

I miss JF

Hilo unalosema ni kweli kabisa, wengine ilobaki mazowea tu, mahaba hapana tena.

Utakuta wachangiaji wa zamani wenye kujenga mada, kupingana bila kejeli wala matusi wamepotea, wengi ni watu na heshima zao na wanaona watakuja jivunjia heshima bure. Tulobaki ni "die hard".
 
Kwa Wanabodi,

Sasa sio siri tena kuwa baadhi ya viongozi wetu, wengi wao ni wagonjwa wa UKIMWI! Ninasema sio siri kwa sababu huu ugonjwa haudanganyi unless uwe tajiri sana au mtu mwenye uwezo mkubwa sana ndio unaweza kuuficha, lakini kama sio basi pole pole utaanza kujionyesha,

Sio siri kwamba kuna angalau wabunge kumi waliopo bungeni sasa hivi ambao wana huu ugonjwa hatari, na kama ishirini waliotoka kipindi kilichokwisha, wakiwemo wanawake kama sita hivi wana huu ugonjwa,

Nimejaribu kulifiatilia hili suala kwa makini sana, na hata kuzungumza kwa kirefu na viongozi wa NGO za ugonjwa huu, viongozi hao ambao huwa hawafichi kuwa nao ni waathirika, na ninawapa SALUTE zangu kutoka katika roho yangu kwa ujasiri wao huo wa kuwasaidia wengine wanaojitolea kujitokeza, I was so moved baada ya mazungumzo ya kama masaa sita na baadhi ya viongozi hao hivi karibuni, Mungu atawabariki,

Sasa jamani ndugu zangu ninauliza as a nation tunatakiwa kufanya nini na hawa viongozi? Je na wananchi wanaofahamika kuwa wanao huu ugonjwa na tunawaona wanajirusha tu kama wazima na kuwaambukiza wengine, tunawafanyia nini hawa? Kwa kweli la viongozi ndilo linaniuma zaidi kwani kwanza hawakubali kuwa wanaumwa pamoja na kwamba mambo yanajionyesha wazii! Halafu wanaendelea kujirusha na kina mama na kina baba!

Hebu ninaomba wazee tusaidiane na tuelimishane kuhusu hili tatizo kwani sasa tunaelekea pabaya, na hawa viongozi wa NGOs wananiambia kuwa watu walioowa ndio wanaoupata zaidi ya wasiooa, lakini what do we do na viongozi wagonjwa wasiokubali?

FieldMarshall Wagonjwa wako wameshapona Ukimwi?
 
FieldMarshall Wagonjwa wako wameshapona Ukimwi?

- Hizi ndio enzi tulikuwa JF kweli Serikali ilikuwa inatusikiliza kwa kila tunalolisema hapa, lakini not anymore kumezuka Miungu watu humu na wameingia wapiga ramli wengi hamna hoja tena!! so!1

Es!
 
- Hizi ndio enzi tulikuwa JF kweli Serikali ilikuwa inatusikiliza kwa kila tunalolisema hapa, lakini not anymore kumezuka Miungu watu humu na wameingia wapiga ramli wengi hamna hoja tena!! so!1

Es![/QUaOTE]

Mkuu le mutuz,karibu na huku usome mambo uloandika huko nyuma na unayopayuka sasa hivi. Yawezekana mmoja ya uliowasema huku ndo huyo unayeshupaa kumtetea na magazeti ya udaku.
 
Kwa Wanabodi,

Sasa sio siri tena kuwa baadhi ya viongozi wetu, wengi wao ni wagonjwa wa UKIMWI! Ninasema sio siri kwa sababu huu ugonjwa haudanganyi unless uwe tajiri sana au mtu mwenye uwezo mkubwa sana ndio unaweza kuuficha, lakini kama sio basi pole pole utaanza kujionyesha,

Sio siri kwamba kuna angalau wabunge kumi waliopo bungeni sasa hivi ambao wana huu ugonjwa hatari, na kama ishirini waliotoka kipindi kilichokwisha, wakiwemo wanawake kama sita hivi wana huu ugonjwa,

Nimejaribu kulifiatilia hili suala kwa makini sana, na hata kuzungumza kwa kirefu na viongozi wa NGO za ugonjwa huu, viongozi hao ambao huwa hawafichi kuwa nao ni waathirika, na ninawapa SALUTE zangu kutoka katika roho yangu kwa ujasiri wao huo wa kuwasaidia wengine wanaojitolea kujitokeza, I was so moved baada ya mazungumzo ya kama masaa sita na baadhi ya viongozi hao hivi karibuni, Mungu atawabariki,

Sasa jamani ndugu zangu ninauliza as a nation tunatakiwa kufanya nini na hawa viongozi? Je na wananchi wanaofahamika kuwa wanao huu ugonjwa na tunawaona wanajirusha tu kama wazima na kuwaambukiza wengine, tunawafanyia nini hawa? Kwa kweli la viongozi ndilo linaniuma zaidi kwani kwanza hawakubali kuwa wanaumwa pamoja na kwamba mambo yanajionyesha wazii! Halafu wanaendelea kujirusha na kina mama na kina baba!

Hebu ninaomba wazee tusaidiane na tuelimishane kuhusu hili tatizo kwani sasa tunaelekea pabaya, na hawa viongozi wa NGOs wananiambia kuwa watu walioowa ndio wanaoupata zaidi ya wasiooa, lakini what do we do na viongozi wagonjwa wasiokubali?
Mzee wa Sauti Ya UMEME,Ebu tupe Update ya hao wabunge na hali zao kwa sasa ili tujue kama zilikuwa akili za usiku tu au ilikuwa kweli hisia zako.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom