Kipenseli
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 800
- 1,050
Habari zenu wana JF.
Mimi ni Muathirika wa tatizo la Vidonda vya Tumbo Almost Mwaka sasa lakini kutokana na kuutibu huu ugonjwa bila mafanikio nimepata comment mbali mbali ambazo nyingine zimenipa khofu.
Nataka niamini tunkwa ushuhuda ni kweli vidonda vya tumbo vinaweza kupelekea kifo? na je ikifikia stage gani ya maambukizi mpaka kupelekea kifo? je ni nini dawa mujarabu ya tatizo hili?
Mimi ni Muathirika wa tatizo la Vidonda vya Tumbo Almost Mwaka sasa lakini kutokana na kuutibu huu ugonjwa bila mafanikio nimepata comment mbali mbali ambazo nyingine zimenipa khofu.
Nataka niamini tunkwa ushuhuda ni kweli vidonda vya tumbo vinaweza kupelekea kifo? na je ikifikia stage gani ya maambukizi mpaka kupelekea kifo? je ni nini dawa mujarabu ya tatizo hili?