Ni kweli utumishi wamwaga maia ya kazi?

Mayu

JF-Expert Member
May 11, 2010
6,629
10,706
wadau mwenye uhakika na hili tunaomba mtupe link au mtumwagie hizo nafasi hapa jukwaani na sisi tulio porini tujaribu nafasi hizo
 
ukiona hivyo ujue zishajaaa huko mlipoona ni kupitia principle zaajira usikate tamaa lakini yesu yu pamoja na si

Amina.
lakini mkuu tusije tukafungiwa kutaja hili Jina Kuu kuliko majina yote.
 
Hapana mkuu lazima wajue atutegemei wajomba kama wengine kupata kazi yupo mkuu mmoja huyo ukitaka lolote anatoa lazima wamjue wamheshimu karibu mpendwa..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom