RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,834
Jana nimejaribu ile namba *106# kuangalia namba zilizosajiliwa kwa NID yangu. Lahaula nimekuta imesajili laini mbili za wale YATOSHA!
Leo kitu cha kwanza asubuhi nimepita ofisini kwao nikafuta laini moja ambayo sijawahi kuitumia hata siku moja.
Tuwe makini wakuu unaweza kula mvua kimasihara kabisa
Leo kitu cha kwanza asubuhi nimepita ofisini kwao nikafuta laini moja ambayo sijawahi kuitumia hata siku moja.
Tuwe makini wakuu unaweza kula mvua kimasihara kabisa