Digaller
JF-Expert Member
- Oct 20, 2009
- 745
- 427
Nimejaribu kwa muda mrefu sana kutafakari hotuba ya Bajeti iliyowasilishwa Bungeni lakini sijapata jibu mwafaka, nina maswali ambayo nataka tujadiliane wana JF:-
NOTE: Mapato ya Tanzania ya ndani kwa mwezi ni 8 Trillion, Matumizi 10 Trillion.
- Je tunahitaji kupangiwa Bajeti na wazungu kwakuwa sisi imetushinda?
- Je hatuna wataalamu wa kutosha kuweza kupanga bajeti yetu?
- Je baraza la mawaziri lilishirikishwa kikamirifu wakati wa utungaji wa bajeti hii?
- Kamati za bunge zilikuwa zinafanya nini mpaka tunaletewa madudu kama haya bungeni?
- Je ni kwa vipi mtu anaweza kuishi kwa kipato cha 80,000 lakini matumizi yake kwa mwezi ni shilingi 100,000?
- Je viongozi wetu wamelewa madaraka kiasi kwamba hawaelewi wapo pale kwaajili ya nani?
NOTE: Mapato ya Tanzania ya ndani kwa mwezi ni 8 Trillion, Matumizi 10 Trillion.