Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,613
- 218,036
Napinga tabia hii
Kwani hao uliowataja wanashindaga kila kikombe cha nchini kwao?Tuko level moja na TP Mazembe,Mamelod.Al Ahly nk..Manara jinga sana
Tuko level moja na TP Mazembe,Mamelod.Al Ahly nk..Manara jinga sana
Hizo timu wakifungwa hawazomei wachezaji waoKwani hao uliowataja wanashindaga kila kikombe cha nchini kwao?
kumpa mtu ukweli ili asipewe namba haijawahi kuwa kashfaNa kitendo cha kumkashifu Manula sio kizuri pia...
Tuko level moja na TP Mazembe,Mamelod.Al Ahly nk..Manara jinga sana
Sema mlimuandama sana... Ila hoja yako ndani ya mada naiunga mkono..kumpa mtu ukweli ili asipewe namba haijawahi kuwa kashfa
Usipate shida sana juu ya hilo. Hiyo ndo tabia ya mashabiki duniani kote. Ukiwafurahisha, watakushangilia, ukiwaboa watakuzomea. Ni njia nzuri ya kufikisha ujumbe. Wahusika wa team kwa maana ya uongozi,benchi la ufundi na wachezaji pia watakua wamepata ujumbe loud and clear; kilichobaki ni wao tu kuufanyia kazi. Jiulize, je ni mara ya kwanza kwa msimu huu simba kufungwa? Kwa nini wazomewe sasa?Napinga tabia hii