Ni kweli tumefungwa lakini kitendo cha kuwazomea wachezaji bandarini hakikubaliki na siyo cha kimichezo

Napinga tabia hii
Usipate shida sana juu ya hilo. Hiyo ndo tabia ya mashabiki duniani kote. Ukiwafurahisha, watakushangilia, ukiwaboa watakuzomea. Ni njia nzuri ya kufikisha ujumbe. Wahusika wa team kwa maana ya uongozi,benchi la ufundi na wachezaji pia watakua wamepata ujumbe loud and clear; kilichobaki ni wao tu kuufanyia kazi. Jiulize, je ni mara ya kwanza kwa msimu huu simba kufungwa? Kwa nini wazomewe sasa?
"Great power, comes with great responsibilities".
 
Back
Top Bottom