NI KWELI TOO BUSY AU UZEMBE WA MA IT WETU

Kichaka12

JF-Expert Member
Dec 11, 2018
296
259
Habari zenu wakuu.......

napenda kujua hizi system tunazotumia mfano hii ya kuomba ajira.... inasumbua sio kidogo... sometimes hata kufunguka tu tabu.... sikwambii kwenye kuapload vyeti hapo ndo watu wanakesha bila mafanikio...

hivi ni kweli watumiaji ni wengi kiasi hicho mapaka watu wanasumbuka bila mafanikio au system ni mbovu??...

why mitandao mengine wanatumia watu wengi sana karibu dunia nzima lakini haisumbui???

lakini hizi za kwetu hata necta watangaze siku ya kwanza matokeo ni kazi sana kuingia kwenye ukurasa huo...

mwisho naomba tutoe suluhisho nini iwe tiba ya hili??? maana kuomba ajira online ilitakiwa iwe jambo la dakika tano tu ukishakuwa na document zako umeshaziandaa.... lakini hapa ni kama adhabu... unakesha na hufanikuwi

naomba kuwasilisha...
 
Mkuu servers zao ndo hazina uwezo wa kutosha. Nadhan unaonaga hata kipnd cha kuangalia matokeo ya sekondari, hua servers zinakua overloaded kutokana na request nyngi. Ila tuvumilie tu coz ndo Tanzania tuliojengewa hio.
 
tatizo ni mtandao katika server husika... africa katika swala la teknolojia tuko nyuma sana afu pia hata tools tunazotumia uimala wake ni hafifu.. tegemea janga kama ilo kutokea
 
Mkuu servers zao ndo hazina uwezo wa kutosha. Nadhan unaonaga hata kipnd cha kuangalia matokeo ya sekondari, hua servers zinakua overloaded kutokana na request nyngi. Ila tuvumilie tu coz ndo Tanzania tuliojengewa hio.
ila tunaweza kubadilika na kumove!!!! mfano OTEAS hawana muda mwingi labda muwape ushauri aisee... wanatesa watu
 
tatizo ni mtandao katika server husika... africa katika swala la teknolojia tuko nyuma sana afu pia hata tools tunazotumia uimala wake ni hafifu.. tegemea janga kama ilo kutokea
Futa neno afrika mkuu, SA, Egypt, Algeria, Angola na Nigeria zipo afrika kimaeneo tu ila mambo mengine heshima ziwafikie
 
Kumbuka TAMISEMI ndo imeajiri ma IT hata bado hawajariport kazini.... vumilia mambo yatakuwa vzr boss

Sent from my GT-N7000 using Tapatalk
yatuwa vizuri moment ambayo deadline ya application imefica???:D:p
 
tatizo ni mtandao katika server husika... africa katika swala la teknolojia tuko nyuma sana afu pia hata tools tunazotumia uimala wake ni hafifu.. tegemea janga kama ilo kutokea
Of coz hili nalo linaweza kuchangia. Lkn hivi servers za jamiiforums ziko hapa bongo kweli?? Kama zipo bongo basi wao wanatumia mtandao gn coz sio kwa kuwa fast hivi na ukiangalia jamiiforum ndo mtandao/web unaopata traffic kubwa hapa bongo.
 
Of coz hili nalo linaweza kuchangia. Lkn hivi servers za jamiiforums ziko hapa bongo kweli?? Kama zipo bongo basi wao wanatumia mtandao gn coz sio kwa kuwa fast hivi na ukiangalia jamiiforum ndo mtandao/web unaopata traffic kubwa hapa bongo.
Hawa wanatesa atu sana!!!! ma IT wao wajitafakari....... labda wawe wanawafanyia watu kusudi
 
Mkuu servers zao ndo hazina uwezo wa kutosha. Nadhan unaonaga hata kipnd cha kuangalia matokeo ya sekondari, hua servers zinakua overloaded kutokana na request nyngi. Ila tuvumilie tu coz ndo Tanzania tuliojengewa hio.

Server kama server inahusikaje hapo?? Embu eleza kidogo.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom