Ni kweli Tanzania imeruhusu uwindaji wa Simba?

Shoctopus

JF-Expert Member
Dec 29, 2015
3,434
1,985
Nimesikia katika BBC radio kwamba Tanzania itaruhusu simba kuwindwa kwaajili ya vipusa kama ngozi, kucha nk ili kuingiza fedha ya kigeni.

Mwenye taarifa sahihi na kamili naomba anielimishe.
 
Nimesikia katika BBC radio kwamba Tanzania itaruhusu simba kuwindwa kwaajili ya vipusa kama ngozi, kucha nk ili kuingiza fedha ya kigeni.

Mwenye taarifa sahihi na kamili naomba anielimishe.
Katika Awamu hii kila kitu kinawezekana ili nchi iendelee.
 
Nimesikia katika BBC radio kwamba Tanzania itaruhusu simba kuwindwa kwaajili ya vipusa kama ngozi, kucha nk ili kuingiza fedha ya kigeni.

Mwenye taarifa sahihi na kamili naomba anielimishe.
Hiyo ni kicheko kwa nyumbu
 
Katika Awamu hii kila kitu kinawezekana ili nchi iendelee.
Awamu hii ndio iliamua hao wanyama wasiuliwe hivyo ndio maana kuna Nyerere national park sasa.

Kule selous kuna hunting game unaua tu mnyama yoyote ukishalipia. Kasoro Twiga, Tembo na Faru. Na hunting ni biashara ya hasara maana unatunza wanyama ili wawindwe tu kwa raha za wadunguaji huku serikali ikipata mapato kiduchu.
 
Back
Top Bottom