Dickson Ng'hily
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 451
- 485
yeah,sidhani kama wata chukulia haya mambo kimya kimya,...
yasije kumtokea kama ya jamaa wa temeke hadi sasa anaogopa kugombea kule
tena!
Mheshimiwa Speaker, cjui jamaa wa Temeke kakuchufua na nini...Naona comment zako zote ni za kuonyesha chuki na dharau..Nway,Ubarikiwe sana mkubwa na haya maisha ndo niliyoyachangua hivyo sema yote uliyonayo moyoni bila kuzuilia neno hata moja...wansi ageni thenki yu...