fredmlay
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,849
- 388
Ukweli utabaki palepale kwamba wabunge wa cdm wakikosea tuseme ili wajirekebisha kwakuwa tuna malengo ya mbali na si hii miaka mitano waliyoipata sasa. Haijalishi alisema au hakusema ila muanzisha thread kasema amesikia kwenye radio na kama ndivyo tunaomba ikemewe na kama sivyo ikanushwe hakuna sababu ya kujua ni gazeti lipi ilimradi imeingia kwa jamii tuifanyie kazi hiyo ndio siasa