kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,574
Kuna taarifa zimezagaa mtaani kuwa serekali imekataza wananchi na serekali za vijiji vya Bagamoyo wasiuze mashamba na viwanja!
Kama habari hizi ni kweli vipi kuhusu wale walionunua mwanzo? Na Je serekali ina haki ya kumkataza mwananchi wake kutokuuza ardhi bila ya maelezo ya kutosheleza?
Kama habari hizi ni kweli vipi kuhusu wale walionunua mwanzo? Na Je serekali ina haki ya kumkataza mwananchi wake kutokuuza ardhi bila ya maelezo ya kutosheleza?