kuna taarifa kuwa hawa jamaa waliandaa hujuma za kunajisi mkutano mkuu wa dayosisi ya mashariki uliokuwa na lengo la kumpata askofu mkuu wa kanisa hilo.
njama zao ziligundulika mapema na askofu benson bagonza wa jimbo la karagwe ndiye aliyetoa angalizo la wanasiasa kuingiza maslahi yao katka uchaguzi huo wa kanisa na hata mmoja wao akiwa si muumini wa kanisa hilo(rostam)
my take:
hivi hao jamaa hawamwogi mungu?
wanataka kupandikiza maslahi yao hadi kanisani?
wana hati miliki ya maisha?
kwanini wasiwekeze kwa masikini mambako ni sawa na kumkopesha mungu?
wajue wazi watanzania wa sasa si mabwege tena na wasubirie 2015 kihama chao ktk siasa za tz
kama ni mfuatiliaji mzuri wa magazeti nadhani uliona jinsi magazeti ya rostam yale ya mtanzania na mengineyo yalivyokuwa wanafanya mashambulizi kwa askofu malasusahabari yako haina uthibitisho wala source
Wana jamii forums eti ni kweli rostam, lowassa, meghji, ki, karamagi wana passport za nchi 4?, Au ndio maana HAWANA UCHUNGU wa TAIFA HILI?