Joh Daisy
Senior Member
- Jul 4, 2016
- 112
- 28
Kama kweli hizi habari ni za kweli basi soka la Tanzania lipo matatani sana. Maana makosa yaliyojitokeza yalikuwa ya kibinadamu na hata katika league za wenzetu yanatokea sana, lakini sidhani kama marefarii wanatolewa kafara kama huku kwetu.
Hii ishu ya juzi mimi pia ni shabiki wa Simba lakini nilipoliangalia goli la Hamisi Tambwe nilikili kuwa ni vigumu sana kwa refa kuona kwa haraka tukio kama lile na kiukweli refa sio Mungu.
Kumfungia kunaweza wapoza waliohisi wameonewa lakini sio fair sana kwa refa. Hii itawafanya hata marefa wengine kuwa under pressure katika kila game ya watani wa jadi.
Hii ishu ya juzi mimi pia ni shabiki wa Simba lakini nilipoliangalia goli la Hamisi Tambwe nilikili kuwa ni vigumu sana kwa refa kuona kwa haraka tukio kama lile na kiukweli refa sio Mungu.
Kumfungia kunaweza wapoza waliohisi wameonewa lakini sio fair sana kwa refa. Hii itawafanya hata marefa wengine kuwa under pressure katika kila game ya watani wa jadi.