Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,399
- 4,696
Ukweli lazima usemwe hata kama ni mchungu.
Kwa miezi kadhaa kabla ya machi 2022, pesa ilikuwa na thamani japo ilikuwa si rahisi sana kuipata kutokana na mirija mingi ya rushwa na ufisadi kufungwa. Leo hii pesa haina thamani. Tsh elfu 10 ni kama sh elfu 1.
Bidhaa bei ghali. Tozo kila mahali. Kila mtu analia. Hata wenye nacho (japo hawasemi) ila wanajua wazi hali si shwari. Mbaya zaidi bidhaa pamoja na kuwa bei ghali, mahali kwingine hazipatikani kirahisi.
Mipaka imefunguliwa. Nafaka zinasafitishwa nje ya nchi.
Hakika Tz imekuwa yatima! Nendeni vijijini, mijini kwa wananchi wa kawaida (wenye akili za kawaida) mtafahamu kwa uhalisia jinsi hali ilivyo!
Inahuzunisha sana. Kila kukicha afadhali ya jana!
Kwa miezi kadhaa kabla ya machi 2022, pesa ilikuwa na thamani japo ilikuwa si rahisi sana kuipata kutokana na mirija mingi ya rushwa na ufisadi kufungwa. Leo hii pesa haina thamani. Tsh elfu 10 ni kama sh elfu 1.
Bidhaa bei ghali. Tozo kila mahali. Kila mtu analia. Hata wenye nacho (japo hawasemi) ila wanajua wazi hali si shwari. Mbaya zaidi bidhaa pamoja na kuwa bei ghali, mahali kwingine hazipatikani kirahisi.
Mipaka imefunguliwa. Nafaka zinasafitishwa nje ya nchi.
Hakika Tz imekuwa yatima! Nendeni vijijini, mijini kwa wananchi wa kawaida (wenye akili za kawaida) mtafahamu kwa uhalisia jinsi hali ilivyo!
Inahuzunisha sana. Kila kukicha afadhali ya jana!