Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Kwa jinsi naona jitihada za utawala huu, na juhudi za kujinasibu na sera za mwalimu Nyerere ni wazi ninachokiona ni km utaifishaji wa kila kitu kiwe cha umma tena. mara nyingi nikiwa na mashaka na ninachokiona huwa najaribu fikiria inawezekana ni askari kanzu wa Mkapa kaamua mrekebishia mtangulizi wake makosa ya ubinafsishaji au lah. Ila mengi yanaonyesha kwamba hapana, tunarudi kule kule kwenye mali za umma.Mali ambazo ni risk sana katika utawala mbovu ,pamoja na ule ugonjwa sugu wa serikali nyingi duniani.Kukosa ufanisi kwa kiasi cha kufanya kila project ya serikali kuwa hasara kuliko faida. Serikali nyingi duniani kwao hasara ya thamani ya hela sio kitu, kwao faida za kisiasa ndio muhimu sana.Hii si nzuri sana kuweka usitawi wa nchi ktk hisani ya wanasiasa wanaopita.
Macho na akili za kijamaa hayajawahi kuwa rafiki wa biashara.Mjamaa akiona hela huwa anaona kwa akili za shida zake. hawezi pata best price kwa realistic ways, wanatupa tupa kwa vile hawapo serious sana ktk principals za uchumi.Ndio maana wanaibiwa sana, na wakipewa nafasi ya kujirekebisha huja na mabei ya kubuni. Wajamaa haamini sana sheria ndio maana sio ajabu kumkuta mjamaa ni dr ila anaenda kwa mganga kwanza kucheki malaria, unaweza mkuta ni mchumi ila rais asiye mchumi ndio anamuongoza.Mjaa kila kitu kwake ni fadhila na ,ndio maana hawana ahsante.Mjamaa anachopewa anataka kiwe bure kabisa,kisipokuwa bure kabisa analalamika sana kuwa SIO BURE, ila yeye akitoa hata haki ya mtu huiita fadhila.
Sasa hivi juhudi zote za kushusha madaraka chini zilizofanywa kwa hela ya misaada au kodi za wananchi wengine ili nasi tuanze jikomboa, zimegeuzwa kuwa bure, alichofanya mkapa hata km alifanya vibaya kimerudi zero, maendeleo ya mabenk binafsi sasa yanarudi chini tunarudi ktk serikali ielile yenye watu wanaoweza kuingia kwa makundi ya kikanda,badala ya weledi.
Hali ilivyo kuna kila dalili kwamba, serikali itapata faida za muda mfupi ila mapato sio endelevu tena, muda sio mrefu visima vitakauka.Halamshauri zitakausha hela kwa rais na kuzipeleka hazina(Km kuchimbia hela chini na sio kuweka ktk bank zinazozungusha), watu wanafungiwa hata km kuwa wazi kungesaidia walipe kodi kwa awamu.Ni tabia km zile za watu wanaotaka kula ya leo tuu kesho itajijua yenyewe.
Tusipojiangalia tunaweza jikuta hatuipi nchi km wezi walivyokuwa wakisaidia uchumi. Km wezi walikuwa wakizungusha hela kwa namna serikali ilikuwa ikipata kodi ktk bidhaa,huduma na mishahara kwa iasi kikubwa kuliko sasa.Then serikali ilipaswa kutafuta namna ya kuongeza hiyo kodi toka ktk channels zinzpopita hela za wezi ili mapato yawe makubwa kuliko hela waliyoiba+riba. Technically ingekuwa km walikopeshwa vile.By the time mkakati wa kuwaadhibu unapita,basi kuwafilisi iwe ni faida mara dufu,na wasilete mshtuko ktk uchumi.
Macho na akili za kijamaa hayajawahi kuwa rafiki wa biashara.Mjamaa akiona hela huwa anaona kwa akili za shida zake. hawezi pata best price kwa realistic ways, wanatupa tupa kwa vile hawapo serious sana ktk principals za uchumi.Ndio maana wanaibiwa sana, na wakipewa nafasi ya kujirekebisha huja na mabei ya kubuni. Wajamaa haamini sana sheria ndio maana sio ajabu kumkuta mjamaa ni dr ila anaenda kwa mganga kwanza kucheki malaria, unaweza mkuta ni mchumi ila rais asiye mchumi ndio anamuongoza.Mjaa kila kitu kwake ni fadhila na ,ndio maana hawana ahsante.Mjamaa anachopewa anataka kiwe bure kabisa,kisipokuwa bure kabisa analalamika sana kuwa SIO BURE, ila yeye akitoa hata haki ya mtu huiita fadhila.
Sasa hivi juhudi zote za kushusha madaraka chini zilizofanywa kwa hela ya misaada au kodi za wananchi wengine ili nasi tuanze jikomboa, zimegeuzwa kuwa bure, alichofanya mkapa hata km alifanya vibaya kimerudi zero, maendeleo ya mabenk binafsi sasa yanarudi chini tunarudi ktk serikali ielile yenye watu wanaoweza kuingia kwa makundi ya kikanda,badala ya weledi.
Hali ilivyo kuna kila dalili kwamba, serikali itapata faida za muda mfupi ila mapato sio endelevu tena, muda sio mrefu visima vitakauka.Halamshauri zitakausha hela kwa rais na kuzipeleka hazina(Km kuchimbia hela chini na sio kuweka ktk bank zinazozungusha), watu wanafungiwa hata km kuwa wazi kungesaidia walipe kodi kwa awamu.Ni tabia km zile za watu wanaotaka kula ya leo tuu kesho itajijua yenyewe.
Tusipojiangalia tunaweza jikuta hatuipi nchi km wezi walivyokuwa wakisaidia uchumi. Km wezi walikuwa wakizungusha hela kwa namna serikali ilikuwa ikipata kodi ktk bidhaa,huduma na mishahara kwa iasi kikubwa kuliko sasa.Then serikali ilipaswa kutafuta namna ya kuongeza hiyo kodi toka ktk channels zinzpopita hela za wezi ili mapato yawe makubwa kuliko hela waliyoiba+riba. Technically ingekuwa km walikopeshwa vile.By the time mkakati wa kuwaadhibu unapita,basi kuwafilisi iwe ni faida mara dufu,na wasilete mshtuko ktk uchumi.