Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,645
Jamani nilikuwa na mwanamke ila tukaachana lakini moyo wangu unatamani kumrudia japo kuwa tayari ana mwingine
Fala sana huyu jamaaWewe ni bonge la ngese Mkuu! Mada gani hizi za kiboya unatuletea Great thinker wa JF tujadili?
unagongwa na wachawiFala sana huyu jamaa
kujaa sio tatizoWw n bonge la fala embu
Acha kutudalilisha wanaume
Unaenda kulamba matapish
Wakat wanawake wamejaa
Mtaan na utakua umekaa
Kenya co bure hao jamaa
Wa kenya ndo wamebeba sana huu ufala
sana tu sijui kma ntapata kma yeyeAlikuwa anakupenda kwani Mkuu?
Sasa unahangaika nn Mkuu na jibu unalo mwenyew kumbe jamnsana tu sijui kma ntapata kma yeye
Mbona vijimaneno vichache hivyo...?Jamani nilikuwa na mwanamke ila tukaachana lakini moyo wangu unatamani kumrudia japo kuwa tayari ana mwingine
Kama huna jibu la hili tu, basi mda mwingi penda kusoma comment za wengine na usishare chochote mpaka utakapokuwa Poa.Jamani nilikuwa na mwanamke ila tukaachana lakini moyo wangu unatamani kumrudia japo kuwa tayari ana mwingine