Ni kweli Nelson Mandela alifia gerezani 1985?

Siwezi zungumzia sana ufake wa Mandela. Ila kuhusu kutokuja kwenye msiba wa Nyerere, Binafsi naamini kuwa, highly probable ,spiritual bond waliyokuwa nayo watu hawa, Mandela angefika msibani, possible angefariki pia. Hata katika Jamii zetu, wapo watu/ wazee ambao Wana spiritual bond kubwa kiasi kwamba mmoja akifariki Mwingine huwa hahudhurii msiba wake kabisa. wengine pamoja na kutohudhuria Lazima augue.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wadau, katika pitapita zangu nimekutana na mwandishi mmoja anayedai kuwa mtu anayefahamika kwa jina la Nelson Mandela, si huyu tunaye mfahamu sisi, Nelson original alifia jela mwaka 1985. Kwa mujibu wa maelezo yake nikwamba huyu tunaye mfahamu alitafutwa mtu anayeendana naye kidogo na alilazimishwa kutoa talaka kwa Winnie Mandela maana wangekaa pamoja kwa muda mwanamama huyu angejua kuwa hakuwa Mandela Original.

Inasemekana mwanamuziki Johnny Clegg alishawahi pia kuimba kitu hiki katika wimbo wake wa "Asimbonanga" yaani hatujamwona yeye. Kwenye wimbo huo kuna maneno Asimbonang' uMandela thina akimaanisha hatujamwona Mandela Laph'ekhona - mahali alipo Laph'ehleli - mahali alipo zikwa. Wimbo huu ulitoka mwaka 1987.

Nani aliyetolewa gerezani 1990?

Inasemekana ni mtu ajulikanaye kwa jina la Gibson Makanda ambaye alipelekwa katika gereza la Pollsmor mwezi May mwaka 1985 na akiwa huko alifanyiwa plastic surgery iliyofanywa na timu ya madaktari wachache toka London Uingereza, mara baada ya zoezi hilo kufanikiwa alipatiwa mazoezi ya kuongea na kutembea kama Nelson Mandela mpaka alipo fuzu ndipo mpango wa kumtoa ukatekelezwa ndomaana hata baada yakutoka alilegeza sana masharti kwa watu weupe.

Nilipitia pia vyanzo mbalimbali mtandaoni nikakutana na zaidi ya waandishi 50 tofauti wakizungumzia juu ya Gibson Makanda kuigiza kama Nelson Mandela.

Je, nikweli Nelson Mandela alifariki mwaka 1985?

Stori za vijiweni
 
Na aliyekuja Tanzania kupewa passport na Nyerere alikuwa ni Mandela au Makanda?
Aliikumbukaje mitaa alijokuwa anaishi Dar kwa yule mama yalipo mabaki ya nguo zake?
Aliwezaje kukumbuka story zake na rafiki yake Mwl. Nyerere
Kwann hakuja kwenye msiba Wa nyerere kama kweli alikua rafiki
 
The investigation into Arafat's death came up with the worst lie as compared to the previous ones!
We might need an Enquiry Commission into this, in order to establish arguments...if possible his body be exhumed and DNA testing be carried!...as it was with Palestinians' Yasser Arafat whose body was exhumed in 2013 for biochemistry testing to establish if the leaders' death was caused by polonium & lead poisoning or it's rather a natural death...ukweli ulipatikana with 3 teams conducting an investigation...sasa nini kishindikane kwa Madiba kama hizi fununu zina ukweli!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wadau, katika pitapita zangu nimekutana na mwandishi mmoja anayedai kuwa mtu anayefahamika kwa jina la Nelson Mandela, si huyu tunaye mfahamu sisi, Nelson original alifia jela mwaka 1985. Kwa mujibu wa maelezo yake nikwamba huyu tunaye mfahamu alitafutwa mtu anayeendana naye kidogo na alilazimishwa kutoa talaka kwa Winnie Mandela maana wangekaa pamoja kwa muda mwanamama huyu angejua kuwa hakuwa Mandela Original.

Inasemekana mwanamuziki Johnny Clegg alishawahi pia kuimba kitu hiki katika wimbo wake wa "Asimbonanga" yaani hatujamwona yeye. Kwenye wimbo huo kuna maneno Asimbonang' uMandela thina akimaanisha hatujamwona Mandela Laph'ekhona - mahali alipo Laph'ehleli - mahali alipo zikwa. Wimbo huu ulitoka mwaka 1987.

Nani aliyetolewa gerezani 1990?

Inasemekana ni mtu ajulikanaye kwa jina la Gibson Makanda ambaye alipelekwa katika gereza la Pollsmor mwezi May mwaka 1985 na akiwa huko alifanyiwa plastic surgery iliyofanywa na timu ya madaktari wachache toka London Uingereza, mara baada ya zoezi hilo kufanikiwa alipatiwa mazoezi ya kuongea na kutembea kama Nelson Mandela mpaka alipo fuzu ndipo mpango wa kumtoa ukatekelezwa ndomaana hata baada yakutoka alilegeza sana masharti kwa watu weupe.

Nilipitia pia vyanzo mbalimbali mtandaoni nikakutana na zaidi ya waandishi 50 tofauti wakizungumzia juu ya Gibson Makanda kuigiza kama Nelson Mandela.

Je, nikweli Nelson Mandela alifariki mwaka 1985?

Hizi Conspiracy sio za kuamini sana ....hata kaama alifundishwa kuwa Mandela haina maana kuwa alifundishwa kuwakumbuka wana ukoo wote wa Ukoo wa Mandela , taratubu zao , hadithi zao ....kila mmoja sio jambo rahisi ....kama angekuwa wa uwongo lazima ingekuwa rahisi kugunduliwa na ndugu zake ...lakini zaidi angechukua tahadhari ya kuishi mbali na wana ukoo wa mandela
 
=============================
Ooh mwanangu dunia ina mambo,
sikia maneno,
nakwambiaka,
mupe roho yako Mola wako,
heshima kwa wazazi eee mwanangu.

Dunia hii mama lukumba lukumba,
dunia hii ina mambo mwendo wa ngamia,
dunia hii mama lukumba lukumba,
dunia hii ina mambo mwendo wa ngamia.

Chunga mwenjiyo atakudanganya,
kwa yote ile atapenda yeye,
kipenda roho kila mutu na yake,
yake ni yake na yako ni yako.

Dunia hii mama lukumba lukumba,
dunia hii ina mambo mwendo wa ngamia,
dunia hii mama lukumba lukumba,
dunia hii ina mambo mwendo wa ngamia.

Mwendo wa kobe maele maele,
mwendo wa chui kuwinda winda,
mwendo wa nyoka lukumba lukumba,
mwendo wa ngarama ah njia ya faradhi.

Dunia hii mama lukumba lukumba,
dunia hii ina mambo mwendo wa ngamia,
dunia hii mama lukumba lukumba,
dunia hii ina mambo mwendo wa ngamia.

Tabu na raha inakungojea,
inategemea akili yako,
tafutaaaa eh utapata eh,
kumbuka maneno nakwambiaka.

Dunia hii mama lukumba lukumba,
dunia hii ina mambo mwendo wa ngamia,
dunia hii mama lukumba lukumba,
dunia hii ina mambo mwendo wa ngamia.

By Lady Issa
Shukrani...!
 
Hizi Conspiracy sio za kuamini sana ....hata kaama alifundishwa kuwa Mandela haina maana kuwa alifundishwa kuwakumbuka wana ukoo wote wa Ukoo wa Mandela , taratubu zao , hadithi zao ....kila mmoja sio jambo rahisi ....kama angekuwa wa uwongo lazima ingekuwa rahisi kugunduliwa na ndugu zake ...lakini zaidi angechukua tahadhari ya kuishi mbali na wana ukoo wa mandela
Hata hii kitu ingewekwa mathematically, probability ya kuwa habari ya weli ni zero! Sema tu we literally don't use our full brains anymore. Nadhani kuna kasoro kubwa katika namna ya ufundishaji na maarifa kutoka zile elimu zetu za awali za kusikiliza sana hadithi za wahenga ambazo tunajua nyingizo ni hekaya & "abunuwasi" tu. Bahati mbaya, zinaaminiwa na kienziwa kama ndio ukweli. Na ndivyo hivyo bongo zetu zinakuwa zimeghilimishwa kuamini uongo zaidi na kuukataa ukweli, hata kama ukweli ni dhahiri na mantikifu (reasonable) kwenye fikra, wakati uongo unaoaminiwa ni mantififu (unreasonable)!
 
Hata Mzee Mugabe aliwahi kumkataa Mzee Mandela na kumkubali Mwalimu Nyerere, ni baada ya Mandela kutoka jela na kulegeza kamba kwa wazungu akamuona nimsaliti kwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom