Dr-of-three-Phd
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 202
- 30
Ni kweli necta hawaku-post matokeo ya kidato cha nne mwaka 2006?
<br />Yani mm mwenyewe nimeyatafuta mpaka nimegonga mwamba. Nimeenda mkoani wanasema hayakutolewa huo mwaka sasa sijui tutayapataje;<br />
wadau tusaidieni jamani tunashida nayo sana.
<br />Me mwenyewe cjawah kuyaona,na nlikuaga m1 wa wahitimu wa mwaka huo?
<br />
<br />
Mi ninayo kwenye hard copy,kwani mwenyewe nilikuwa mhitimu mwaka huo!