erasto eyp
New Member
- Mar 11, 2020
- 2
- 1
Ndugu wana jamvi mimi ni muitim wa olevel mwaka huu, nlikuw nataka nipige cbg ili badae nije nisome coz ya laboratory technician, sasa kuna mtu ameniambia kuwa kwa sasa mwanafunzi aluesima cbg awez kuapply coz yoyote ya afya uspokuwa environmental health. hiv ni kweli? kama ni kweli coz gan nyingine tofauti na coz za afya ambayo iko vizuri? naomben
msaada wenu tafadhari
Sent using Jamii Forums mobile app
msaada wenu tafadhari
Sent using Jamii Forums mobile app