Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,802
- 8,645
Mm nikimuona tu na mjuaSalaam! Kuna kitu kinatatiza sana, hivi mtoto potential akizaliwa sehemh yoyote duniani, kuna watu hujua ujio wake? Hao watu ni nani?
Je, kuna nini kinafanyika ili kumbaini na kum-trace? Wajuvi wa mambo tusaidieni tafadhali.
Mshana, The bold na wengineo!
Nawasilisha.