Michael Ngusa
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,637
- 458
- Thread starter
- #21
Alikuja na kupokelewa na rais mwinyi na ilikuwa inatangazwa laiv redio ya taifa. Katika hali ambayo haikueleweka muda mwingi michael alionekana kubana pua yake. Alikuwa kwa siku kadhaa na sio kweli kuwa aliishia eapoti.
Maceleb wengne maaruf kwa kipind hicho waliopokewa na rais mwiny ni pope john na kandabongoman wa dr congo (kipindi hicho ikiitwa zaire)
kubanaje pua mkuu, katika kuongea au kama vile kuna kitu kinanuka?