Ni kweli mhe tibaijuka alihonga madiwani?? Soma hapa!!

eumb

Senior Member
Apr 2, 2012
149
70
Soma hapo nilipoweka red chini sehemu ya majadiliano ya Ndugulile na Mwandishi wa Mwanachi;
Polisi wazima mapokezi ya Ndugulile Send to a friend
Monday, 16 July 2012 13:51
0diggsdigg

Elias Msuya
MKUTANO ulioandaliwa na wakazi wa Kigamboni jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumpokea na kumsikiliza Mbunge wao, Faustine Ndugulile jana ulipigwa marufuku kwa kile kilichoelezwa kuwepo hatari ya kuvunjika kwa amani.
Ndugulile alikuw aakirejea jimboni mwake jana, baada ya wiki iliyopita Naibu Spika, Job Ndugai kumpa adhabu ya kutohudhuria vikao vitatu vya Bunge alipodai kuwa baadhi ya madiwani wa Temeke walipewa rushwa na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka ili kuruhusu mradi wa ujenzi wa Kigamboni.
Naye Ndugulile akizungumza kwa simu na Mwananchi, alisema kuvunjwa kwa mkutano huo kunatokana na masuala ya siasa.
“Hayo ni mambo ya siasa tu, mkutano huo uliandaliwa na wananchi wenyewe ili kutoa dukuduku zao. Hata mimi nimejulishwa nikiwa najiandaa kwenda mkutanoni,” alisema Ndugulile
Kuhusu madai aliyotoa Bungeni, Ndugulile alisisitiza kuwa ni ya kweli. “Unajua, siyo kila kitu unaweza kuthibitisha Bungeni, lakini huo ni ukweli…,” alisema Ndugulile.
Send to a friend

 
Nashindwa kujiunga na chama chochote kwa sababu ya hili la kunyimwa kusema ukweli, Ndugulile akae tayari, maana jina lake litaondolewa katika orodha ya wagombea wa ccm, na anaweza akanyang'anywa hata uraia, Mtafute mtu anayeitwa Nyimbo na mwingine ni Seleli pamoja na Bashe watakueleza yaliyowakuta
 
Soma hapo nilipoweka red chini sehemu ya majadiliano ya Ndugulile na Mwandishi wa Mwanachi;
Polisi wazima mapokezi ya Ndugulile Send to a friend
Monday, 16 July 2012 13:51
0diggsdigg

Elias Msuya
MKUTANO ulioandaliwa na wakazi wa Kigamboni jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumpokea na kumsikiliza Mbunge wao, Faustine Ndugulile jana ulipigwa marufuku kwa kile kilichoelezwa kuwepo hatari ya kuvunjika kwa amani.
Ndugulile alikuw aakirejea jimboni mwake jana, baada ya wiki iliyopita Naibu Spika, Job Ndugai kumpa adhabu ya kutohudhuria vikao vitatu vya Bunge alipodai kuwa baadhi ya madiwani wa Temeke walipewa rushwa na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka ili kuruhusu mradi wa ujenzi wa Kigamboni.
Naye Ndugulile akizungumza kwa simu na Mwananchi, alisema kuvunjwa kwa mkutano huo kunatokana na masuala ya siasa.
“Hayo ni mambo ya siasa tu, mkutano huo uliandaliwa na wananchi wenyewe ili kutoa dukuduku zao. Hata mimi nimejulishwa nikiwa najiandaa kwenda mkutanoni,” alisema Ndugulile
Kuhusu madai aliyotoa Bungeni, Ndugulile alisisitiza kuwa ni ya kweli. “Unajua, siyo kila kitu unaweza kuthibitisha Bungeni, lakini huo ni ukweli…,” alisema Ndugulile.
Send to a friend


asante sana mh mbunge,,,,umetusaidia wengi,SI KILA KIANDIKWACHO JF NI UWONGO INGAWA HAKINA SOSI
 
Soma hapo nilipoweka red chini sehemu ya majadiliano ya Ndugulile na Mwandishi wa Mwanachi;
Polisi wazima mapokezi ya Ndugulile Send to a friend
Monday, 16 July 2012 13:51
0diggsdigg

Elias Msuya
MKUTANO ulioandaliwa na wakazi wa Kigamboni jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumpokea na kumsikiliza Mbunge wao, Faustine Ndugulile jana ulipigwa marufuku kwa kile kilichoelezwa kuwepo hatari ya kuvunjika kwa amani.
Ndugulile alikuw aakirejea jimboni mwake jana, baada ya wiki iliyopita Naibu Spika, Job Ndugai kumpa adhabu ya kutohudhuria vikao vitatu vya Bunge alipodai kuwa baadhi ya madiwani wa Temeke walipewa rushwa na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka ili kuruhusu mradi wa ujenzi wa Kigamboni.
Naye Ndugulile akizungumza kwa simu na Mwananchi, alisema kuvunjwa kwa mkutano huo kunatokana na masuala ya siasa.
“Hayo ni mambo ya siasa tu, mkutano huo uliandaliwa na wananchi wenyewe ili kutoa dukuduku zao. Hata mimi nimejulishwa nikiwa najiandaa kwenda mkutanoni,” alisema Ndugulile
Kuhusu madai aliyotoa Bungeni, Ndugulile alisisitiza kuwa ni ya kweli. “Unajua, siyo kila kitu unaweza kuthibitisha Bungeni, lakini huo ni ukweli…,” alisema Ndugulile.
Send to a friend


asante sana mh mbunge,,,,umetusaidia wengi,SI KILA KIANDIKWACHO JF NI UWONGO INGAWA HAKINA SOSI,na si kila chenye sosi huwa ni cha kweli
 
mhh. Huo ndo ukweli, tunameza bila kutafuna tukidhani tumetafuna vya kutosha kupoteza ushahidi. Lakini kila atafunae hatafuni kikamilifu chembe ubaki zikatosha kuonesha ukweli kwa wenye akili. Bunge siyo mahakama kwamba lazima kila kitu kithibitishwe kwa ushahidi.

Nadhani ni jukumu la bunge na usalama wa taifa (kama upo) kutafuta ukweli huo ili kubaini kuwa waziri alihonga au la,au Dk. Ndigulile alisema kweli au uwongo. Dk. alikuwa mungwana kutomhaibisha waziri (prof.) vinginevyo angeweza kummaliza.

Hongera Dk. Ndigulile-ukae tu ukijua kuwa kutetea maslahi ya walikuingiza mjengoni ni kazi ngumu ktk mfumo wentu wa nyang'au tulionao.:director::israel:
 
Back
Top Bottom