The Hunter
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 1,049
- 305
Kwa muda sasa nimekuwa nikizisia kauli za kinafki za viongozi wetu, wengi wakiwa ni hawa wafuja mali maarufu, Kitendo cha Mbunge wa Ludewa bwana Deo Filikunjombe kumponda Mwanakijiji ni unafki wa kutupwa, kama kweli Deo unauchungu na nchi yako nini kilikusababisha kuchoma gari la serikali ulilokuwa unatumia pale kijichi na ndani kukiwa na mafaili kibao, na hata raia walipotaka kuuzima moto uliwakataza? najua unakumbuka vizuri! Je ungekuwa msafi ungechoma moto lile gari la umma najua unajua ulilichoma kwa sababu zipi!