Janja PORI
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 825
- 246
Gazeti la Rai leo limeripoti hivo. Naona Membe ni bora ashinikize kufunguliwa kwa gazeti la sivo 2015 watamchafua maana ushaidi naskia upo. Ni kwamba anaogopa kigogo flani wa usalam akitoka pale hataupata uraisi 2015 kazi kweli kweli