thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Inaniwia vigumu kuwaamini makachero mithiri ya Membe,viapo vyao ni noma sana,anyway ngoja tuone kuelekea October na baada ya October
Hivi upinzani wa Tanzania ukoje?,unashindwaje kuanda presidential material persons ukizingatia upinzani nchini una muongo mmoja na zaidi kwa sasa? Au ni vyama vya kula ruzuku tu?
Tuna safari ndefu sana, na Magufuli ndio kalibumburua
Hivi upinzani wa Tanzania ukoje?,unashindwaje kuanda presidential material persons ukizingatia upinzani nchini una muongo mmoja na zaidi kwa sasa? Au ni vyama vya kula ruzuku tu?
Tuna safari ndefu sana, na Magufuli ndio kalibumburua