Ni kweli Mbwana Samata anajenga Msikiti Kigamboni? Sadio Mane yeye anajenga shule na Hospital kijijini kwake

Hapana mkuu...mtume hakuwapiga wairaq...waarabu wameivamia Iraq kipindi cha Islamic conquest Na jihad ambapo Abbasids walipoingia Baghdad.
Persia haikuwa Arabized mpaka leo Iran sio waarabu.
Halafu uwepo wa gavana muislam sio point kwani kwamfano Mansa Musa alikuwa mfalme Mali Na muislam, Mpaka alienda kuhiji kwahyo inatosha kusema Mali Enzi hizo ilikuwa ya waarabu?

Next time ukibisha Weka Evidence Iraq ilikuwa ya waarabu Enzi Za mtume
Sasa Mkuu unatokaje kupiga Iran tokea Saudia bila kupitia Iraq?

Na huyo gavana si kwamba dini yake ni muisilamu, nimesema gavana ku maanisha kama mkuu wa mkoa na raisi (Khalifa) anakuwa Makkah/Madina. Hivyo ki Authority yupo chini ya Dola ya kiisilamu.

Hii ni ramani ya Eneo alilokuwa anatawala Umar Khalifa wa 2 wa uisilamu baada ya Mtume.

800px-Mohammad_adil_rais-Caliph_Umar%27s_empire_at_its_peak_644.PNG


Source

Hii ni ramani ya middle east.
shutterstock-1168694038.jpg


Hivyo unaona toka Kipindi cha makhalifa wanne tayari Iraq ilikuwa ni himaya ya kiisilamu. Baada ya makhalifa wanne kikaja kipindi cha Umaiya then ndio Hio Abasiya.

Hivyo si kweli kwamba Iraq imekuwa Conquered kipindi cha Abbasids.
 
Sasa Mkuu unatokaje kupiga Iran tokea Saudia bila kupitia Iraq?
mkuu sijasema hvo mahali popote
Na huyo gavana si kwamba dini yake ni muisilamu, nimesema gavana ku maanisha kama mkuu wa mkoa na raisi (Khalifa) anakuwa Makkah/Madina. Hivyo ki Authority yupo chini ya Dola ya kiisilamu.
Sasa kama ulisema huyo gavana alikuwepo kipindi cha Maswahaba ambapo mtume kashakufa inakuwaje Sasa unaitumia hiyo evidence Kuwa Iraq walikuwa waarabu kipindi cha muhammad?
Hivyo unaona toka Kipindi cha makhalifa wanne tayari Iraq ilikuwa ni himaya ya kiisilamu. Baada ya makhalifa wanne kikaja kipindi cha Umaiya then ndio Hio Abasiya.
Ukisoma post yangu ya mwanzon nlisema waislam walivamia Iraq kipindi cha Rashidun ambacho ndo hicho cha Maswahaba.
Hawa Abbasids ninawakazia kwasababu wao ndo waliweka capital Yao Kuwa Baghdad Na kufanya Iraq Kuwa centre ya empire,hii ilisababisha Waarabu wengi kumigrate kuingia Iraq Na watu wa Iraq kuchukua culture ya kiarabu Na hence Iraq ikawa Arabized kipindi hiko.
Hivyo si kweli kwamba Iraq imekuwa Conquered kipindi cha Abbasids.
Iraq haijawa conquered kipindi cha Abbasids ila imekuwa Arabized kipindi cha Abbasids.

Hivyo in conclusion:
Kuna sehem nakiri nilikosea kama kusema Iraq ilivamiwa kipindi cha Abbasids lakini nawewe umekosea sehem nyingi kama post ya 152 uliposema Iraq ilikuwa ya waarabu kipindi cha mtume Na uliposema mtume aliitawala Persia(Iraq Na Iran)...Lakini all in all hata tukiassume kwamba ilikuwa hivyo, Hayo yote yametokea Juzi Tu miaka ya AD Na point yangu kuu ilikuwa kukupinga post yako ya 72 ulipokuwa unajaribu kutuonesha Kuwa Iraq hii ya waarabu ndo hiyo hiyo ilikuwa Asili Yao Babylon na ndo Hao waarabu walioleta algebra,optics, dentistry etc.
 
mkuu sijasema hvo mahali popoteSasa kama ulisema huyo gavana alikuwepo kipindi cha Maswahaba ambapo mtume kashakufa inakuwaje Sasa unaitumia hiyo evidence Kuwa Iraq walikuwa waarabu kipindi cha muhammad?
Ukisoma post yangu ya mwanzon nlisema waislam walivamia Iraq kipindi cha Rashidun ambacho ndo hicho cha Maswahaba.
Hawa Abbasids ninawakazia kwasababu wao ndo waliweka capital Yao Kuwa Baghdad Na kufanya Iraq Kuwa centre ya empire,hii ilisababisha Waarabu wengi kumigrate kuingia Iraq Na watu wa Iraq kuchukua culture ya kiarabu Na hence Iraq ikawa Arabized kipindi hiko.
Iraq haijawa conquered kipindi cha Abbasids ila imekuwa Arabized kipindi cha Abbasids.

Hivyo in conclusion:
Kuna sehem nakiri nilikosea kama kusema Iraq ilivamiwa kipindi cha Abbasids lakini nawewe umekosea sehem nyingi kama post ya 152 uliposema Iraq ilikuwa ya waarabu kipindi cha mtume Na uliposema mtume aliitawala Persia(Iraq Na Iran)...Lakini all in all hata tukiassume kwamba ilikuwa hivyo, Hayo yote yametokea Juzi Tu miaka ya AD Na point yangu kuu ilikuwa kukupinga post yako ya 72 ulipokuwa unajaribu kutuonesha Kuwa Iraq hii ya waarabu ndo hiyo hiyo ilikuwa Asili Yao Babylon na ndo Hao waarabu walioleta algebra,optics, dentistry etc.
Vizuri Ume admit, post yangu yote imebase na kauli yako kuwa ni kipindi cha Abbasiya. Wewe umechanganya kipindi cha Abbasiya Baghdad ilikuwa ni Capital city yao.

Na nimeweka tu hio Picha ya Umar kukuonesha kwamba tayari Toka mwanzo uisilamu ulikuwa kule.

Nimetuma ramani juu, Iraq ni jirani na Saudia kama sisi na Kenya, Mtume alisambaza uisilamu mapema sana Hapo Iraqi, ukumbuke kipindi hiko hakuna mipaka ya wakoloni, jangwa limeaunganisha Saudia na Iraqi.

Nimejitahidi kutafuta source ambayo sio ya dini

Ukisoma hapo utaona mwaka 627-628 first Contact ndio iliwekwa, ambapo waroma walivamia Iraqi, na First muslim riders kwenda Kusaidia.

Pia hio link ina confirm my point Iraqi walikuwa waarabu kusini yote jangwani wakazi wake walikuwa ni waarabu.
 
Vizuri Ume admit, post yangu yote imebase na kauli yako kuwa ni kipindi cha Abbasiya. Wewe umechanganya kipindi cha Abbasiya Baghdad ilikuwa ni Capital city yao.

Na nimeweka tu hio Picha ya Umar kukuonesha kwamba tayari Toka mwanzo uisilamu ulikuwa kule.

Nimetuma ramani juu, Iraq ni jirani na Saudia kama sisi na Kenya, Mtume alisambaza uisilamu mapema sana Hapo Iraqi, ukumbuke kipindi hiko hakuna mipaka ya wakoloni, jangwa limeaunganisha Saudia na Iraqi.

Nimejitahidi kutafuta source ambayo sio ya dini

Ukisoma hapo utaona mwaka 627-628 first Contact ndio iliwekwa, ambapo waroma walivamia Iraqi, na First muslim riders kwenda Kusaidia.

Pia hio link ina confirm my point Iraqi walikuwa waarabu kusini yote jangwani wakazi wake walikuwa ni waarabu.

Point kuu ya Huu mjadala sio Uislam umeanza lini Iraq Huu mjadala unahusu Iraq imekuwa Arabized lini

Unachanganya Kati ya contact Na conquest.
Mimi sijasema kipindi cha muhamde hakukuwa Na contact Kati ya waislam Na Iraq, hell! inawezekana hata palikuwepo contact mpaka na uturuki. Maana wapagani wengi walikuwa wanaenda Mecca kuhiji.

Hapa naongelea
(a)Conquest: ambapo wewe ulisema Kipindi chake, muhamde aliitawala Persia (Iraq Na Iran)
Kitu ambacho sio Kweli Na hutaki kuadmit ulikosea.
Utawala ulianza kipindi cha Rashidun makalifa


(Na hata kama basi tufanye muhamd aliitawala Iraq bado fact itabaki Kuwa ilikuwa ni juzi Tu Na haihusiani Na Babylonians Kuwa waarabu..na waarabu kugundua geometry. Ambayo ndo main point yangu)

(b)Iraq Kuwa Arabized:...
Hiyo source yako inasema
IMG_20210717_120333.jpg

Hapo anasema west and south (ya Iraq) kulikuwa Na Jangwa linaloitwa Arabian desert ambalo lilikaliwa Na waarabu ambalo Mara moja moja walitii mamlaka ya persia...Hilo Jangwa leo sehemu kubwa lipo Saudi Arabia.

Kumbuka Kule juu nlisema Waarabu Ni kama Masai (Nomadic) kwahyo obviously walikuwepo Iraq Kwa uchache hata kabla ya Muhammad,tambua Iraq ilikuwa Ni multicultural center kwahyo hata wayahudi,wagiriki walikuwepo tena wengi Tu kuliko waarabu.
Ishu kubwa Ni je! kipindi cha muhamad, Majority ya wairaq walikuwa watu Gani? Jibu: Walikuwa Na Asili ya Aramea Na Persians..
Na waarabu pale sio kwao tukiangalia origins.

Yani Ni Sawa leo bongo Kuna wahindi wachache halafu mtu ahitimishe kwasababu wahindi wapo basi Tanzania Ni nchi ya wahindi.
 
Ukisoma hapo utaona mwaka 627-628 first Contact ndio iliwekwa, ambapo waroma walivamia Iraqi, na First muslim riders kwenda Kusaidia
Hii Iko nje ya mada ila ngoja niiadress:
Hiyo source haijasema Muslim riders imesema Muslim raiders, Wala haijasema Hao Muslim raiders walienda kusaidia....Wala haijasema walienda huo mwaka 627
Unajua Kwanza maana ya raiders?
Source
Inasema Hivi View attachment 1856841.
IMG_20210717_120437.jpg
kukutafsiria Ni Kuwa mfalme wa Persia aliwavamia waroma mpaka akafanikiwa kiasi chake, lakini mwaka 627-628 waroma waliwageuzia kibano wakauteka mji mkuu wa Persia.. however waroma walipovamia hawakukaa, wakaondoka lakini mfalme wa Persia akaonekana weak watu wakamuua ikabaki ugomvi wa madaraka Kati ya majenerals na royal family vita vya wao Kwa wao...kwahyo Iraq ikabaki bila kiongozi Na ardhi kubwa iliharibika. Na ni Katika Hali hii ambapo waislam ndo waliikuta Iraq.
(Lakini waliikuta Iraq ikiwa Hivi mwaka 634.)
Huu mwaka sasa walituma jeshi la waislam 5,000 chini ya Abū ʿUbayd al-Thaqafī ambalo lilipigwa Na kushindwa Na Persians.
Mwaka 637 ndo waislam wakatuma Tena jeshi kubwa Zaidi chini ya Saʿd ibn Abī Waqqāṣ wakalipiga jeshi la Persians kwenye Battle of Al-Qādisiyyah wakauteka mji wao mkuu wa Iraq kipindi hicho mpaka mwisho wa mwaka (638) wakaiteka Iraq yote.

Baada ya kuiteka Iraq ndiyo waarabu walipoivamia Kwa wingi Na wakatenga maeneo ambayo waislam wataishi Bure bila kufanya Kazi ila wataishi Kwa Kodi Za wananchi wa Iraq wasiokuwa waislam(Hii ndo ilifanya wananchi kubadili Dini Kwa wingi Na kuadopt culture ya uarabu)
IMG_20210717_121228.jpg

Hivyo hiyo source uliyoileta haijasema waislam walikuwepo Iraq kabla ya mwaka 634(kumbuka mtume kafa 632)...inasema kipindi cha mtume Iraq ilikuwa mainly ni ya wakristo ikifuatiwa Na wapagani, Zoroastrians Lakini ruling class walikuwa Zoroastrians.
 
Point kuu ya Huu mjadala sio Uislam umeanza lini Iraq Huu mjadala unahusu Iraq imekuwa Arabized lini

Unachanganya Kati ya contact Na conquest.
Mimi sijasema kipindi cha muhamde hakukuwa Na contact Kati ya waislam Na Iraq, hell! inawezekana hata palikuwepo contact mpaka na uturuki. Maana wapagani wengi walikuwa wanaenda Mecca kuhiji.

Hapa naongelea
(a)Conquest: ambapo wewe ulisema Kipindi chake, muhamde aliitawala Persia (Iraq Na Iran)
Kitu ambacho sio Kweli Na hutaki kuadmit ulikosea.
Utawala ulianza kipindi cha Rashidun makalifa


(Na hata kama basi tufanye muhamd aliitawala Iraq bado fact itabaki Kuwa ilikuwa ni juzi Tu Na haihusiani Na Babylonians Kuwa waarabu..na waarabu kugundua geometry. Ambayo ndo main point yangu)

(b)Iraq Kuwa Arabized:...
Hiyo source yako inasemaView attachment 1856826
Hapo anasema west and south (ya Iraq) kulikuwa Na Jangwa linaloitwa Arabian desert ambalo lilikaliwa Na waarabu ambalo Mara moja moja walitii mamlaka ya persia...Hilo Jangwa leo sehemu kubwa lipo Saudi Arabia.

Kumbuka Kule juu nlisema Waarabu Ni kama Masai (Nomadic) kwahyo obviously walikuwepo Iraq Kwa uchache hata kabla ya Muhammad,tambua Iraq ilikuwa Ni multicultural center kwahyo hata wayahudi,wagiriki walikuwepo tena wengi Tu kuliko waarabu.
Ishu kubwa Ni je! kipindi cha muhamad, Majority ya wairaq walikuwa watu Gani? Jibu: Walikuwa Na Asili ya Aramea Na Persians..
Na waarabu pale sio kwao tukiangalia origins.

Yani Ni Sawa leo bongo Kuna wahindi wachache halafu mtu ahitimishe kwasababu wahindi wapo basi Tanzania Ni nchi ya wahindi.
So waarabu walikuwepo Iraq?
Hii ni ramani ya Iraq unaona hilo eneo la kusini na magharibi ambalo ndio jangwa.
793-thumbnail-w700.jpg


Waarabu walikuwa wakiishi jangwani na Mji maarufu kipindi cha Mtume ni Huo Basra ambao upo kusini. Sababu kulikua na Race nyengine haimaaanishi waarabu hawakuwepo Iraqi.

Hio rangi kama peach ndio hao wamasai waarabu unaowasema.
 
So waarabu walikuwepo Iraq?
Hii ni ramani ya Iraq unaona hilo eneo la kusini na magharibi ambalo ndio jangwa.
793-thumbnail-w700.jpg


Waarabu walikuwa wakiishi jangwani na Mji maarufu kipindi cha Mtume ni Huo Basra ambao upo kusini. Sababu kulikua na Race nyengine haimaaanishi waarabu hawakuwepo Iraqi.

Hio rangi kama peach ndio hao wamasai waarabu unaowasema.
Kwanza hujajibu hoja zangu zote.
Zijibu maana itakuwa napoteza Muda kama huzijibu zingine

Pili huo Basra umetengenezwa baada ya waislam kuivamia Na kuiteka Iraq..hata hiyo Ramani uliyoweka ni ya juzi Tu ,mpaka Baghdad mji ulitengenezwa miaka 100 baada ya Mohamad upo.
Mbona hujasoma source yako? uliyoileta?View attachment 1856900
Screenshot_20210717-140714.jpg


Quick search ya Wikipedia inasema
IMG_20210717_140233.jpg

Tatu waarabu waliokuwepo Iraq kipindi hicho Ni insignificant Na hawakuwa settlers wengi walikuwa wanakuja mda wa mvua kulisha ngamia
Mfano kama ambavyo wakenya leo WaPo bongo.
Hatuwezi kuwapa credit wakenya kwa mambo yaliyofanyika Tz miaka ya 60 Na miaka ya 70.

Uliposema waarabu wamechangia algebra,optics Ni Sawa Na kusema wakenya walituletea uhuru kwasababu sasaivi wapo Tanzania
 
Kwanza hujajibu hoja zangu zote.
Zijibu maana itakuwa napoteza Muda kama huzijibu zingine

Pili huo Basra umetengenezwa baada ya waislam kuivamia Na kuiteka Iraq..hata hiyo Ramani uliyoweka ni ya juzi Tu ,mpaka Baghdad mji ulitengenezwa miaka 100 baada ya Mohamad upo.
Mbona hujasoma source yako? uliyoileta?View attachment 1856900View attachment 1856901

Quick search ya Wikipedia inasema
View attachment 1856902
Tatu waarabu waliokuwepo Iraq kipindi hicho Ni insignificant Na hawakuwa settlers wengi walikuwa wanakuja mda wa mvua kulisha ngamia
Mfano kama ambavyo wakenya leo WaPo bongo.
Hatuwezi kuwapa credit wakenya kwa mambo yaliyofanyika Tz miaka ya 60 Na miaka ya 70.

Uliposema waarabu wamechangia algebra,optics Ni Sawa Na kusema wakenya walituletea uhuru kwasababu sasaivi wapo Tanzania
Algebra imegunduliwa 9th century Omar ame Conquer 6th century sasa huoni hapo Algebra imekuja baada ya civilization ya Uisilamu? Sayansi mkuu si kipaji tu na uelewa Bali huhitaji support, motivation, hela etc.

Kunapokuwa na stable empire inayojiweza na motivation ya kutosha automatic wasomi na vitu vya kisayansi hutokea.

Na mkuu ufahamu kitu kimoja Omar ameingia madarakani miaka 3 baada ya Kufa Mtume, Abubakar alikaa madarakani miaka 2 tu, Omar yeye ameanzisha Administration ila haimaaanishi ameanzisha uisilamu ama uarabu. Ulikuwepo kabla ya Hapo, hicho ulichoscreenshot ni administration,

Kipindi cha Mtume waarabu wa majangwani haonunaowaita Nomadic (sisi waisilamu tunawaita Bedouin ama mabedui) tayari baadhi walishaingia uisilamu, kuna Aya na Hadithi za kutosha kwenye Quran, kipindi hicho hakuna iraq wala Saudi Arabia Bali ni waarabu wa Jangwani. Na Mtume amesumbuana nao sana mpaka anafariki wengine wa katoka Uisilamu. Kuna Aya Specific Mwenyez Mungu alishusha kwa ajili Yao.

Quran 9:97
The bedouins are stronger in disbelief and hypocrisy and more likely not to know the limits of what [laws] Allah has revealed to His Messenger. And Allah is Knowing and Wise.



Na mkuu hoja Gani sijajibu? Hoja yako kuu ni ulisema uarabu umeenda iraq Kipindi cha Abbasiya na mwenyewe umekiri umekosea nini cha ku discuss?

Kama ni Hao scientist kina Algebra, Ibn Sina na wengineo wote hao wamekuja mamia ya miaka baada ya Mtume. Wengi wame extend mpaka karne za 17.
 
Back
Top Bottom